Couple maarufu kuwahi kutokea hapa JamiiForums

Couple maarufu kuwahi kutokea hapa JamiiForums

Jamaa alikuwaga mtu wa masihara sana na figganigga plus kina husninyo na sweetlady.

Nilikuwa napenda ukutane na thread yupo Kaizer, babu Asprin, Ashadii, Dark City, MwanajamiiOne, King'asti, Mtambuzi na Nyumba Kubwa, Paka Jimmy, Kongosho, The Boss and the crew.......wee utafurahia conversation yao wanatema madini hadi raha.
Kipindi hicho ukimtukana mtu unaambiwa uombe msamaha.
Kuna jamaa mmoja big alikuwa anaitwa Mathematics nae nime mkumbuka huyu jamaa nilienda hadi ofisi kwake watu walikuwa waungwanaaa..
 
Jamaa alikuwaga mtu wa masihara sana na figganigga plus kina husninyo na sweetlady.

Nilikuwa napenda ukutane na thread yupo Kaizer, babu Asprin, Ashadii, Dark City, MwanajamiiOne, King'asti, Mtambuzi na Nyumba Kubwa, Paka Jimmy, Kongosho, The Boss and the crew.......wee utafurahia conversation yao wanatema madini hadi raha.
Kipindi hicho ukimtukana mtu unaambiwa uombe msamaha.
Babu Dark City nimemkumbuka walah. Yaani chit chat ilikuwa inanoga balaa.
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Nani alikwambia mwanaume akiniletea [emoji533] mwenyewe naikataa ninavyopenda kutombwerrrrrrrrrrrr mimiiii thubutuuuu!! Nahisi nina pepo lannngon Mwenzio fanya uniombee pullliiizzzzzzzzzzzzzzz!![emoji2960][emoji23]
Wewe ni mwenyeji wa wap?,sorry
 
Back
Top Bottom