Couple ya Tunda na Casto Dickson ndio Couple mbaya zaidi hapa nchini

Sio kwamba Casto hajali bali uwezo wa kumuacha mtoto mzuri kama Tunda hana labda aachwe yeye, kwanza hainiingii akilini kabisa kama ni wapenzi kweli kweli kuna kitu kimejificha hapa ngoja nipeleleze mpaka nijue.
Endelea kuwafuatilia labda siku wakiachana huyo Casto atakutongoza wewe labda wewe na yeye mnaendana.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sio kwamba Casto hajali bali uwezo wa kumuacha mtoto mzuri kama Tunda hana labda aachwe yeye, kwanza hainiingii akilini kabisa kama ni wapenzi kweli kweli kuna kitu kimejificha hapa ngoja nipeleleze mpaka nijue.
cha ajabu kipi kwa castor kutoka na tunda... huyo tunda ametoka hadi na young D ambaye hata pakulala hana anahifadhiwa na maproducer akizinguana na huyu anaenda kuhifadhiwa na prod huyu...

sasa si afadhari castor ana kazi yake πŸ˜‚
 
Unaweza kuwa mzuri ila ukishakuwa na tumbo kubwa uzuri wote unapotea ,mwambie tunda apunguze tumbo hilo.
 
Comments reserved
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…