COVID-19 & DEEP STATE: Nini maana ya Uhandisi Jamii unaotokea Duniani!?

Vilaza mliharibu huu uzi maanina...siku nyingne msifanye mlivyofanya



The bold mkuu..sjawai ona mwamba kama wew .

Thumbs upppp.
 



Huyu mwingine kakamatwa juzi. Now naona connection @Habibu B. Anga
 
Mkuu the Bold uko vizuri sana. Asante kwa maarifa. Najifunza vingi kupitia makala zako.
Nina swali la kitofauti kidogo. Katika haya yote hakuna nafasi ya secret societies na Taasisi kubwa za kidini katika kuifanya dunia kuwa ya namna flani!!? Kuna dots nyingi zinanisumbua.
Cc Habibu B. Anga
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…