COVID-19 na anguko la Shule za English Medium

COVID-19 na anguko la Shule za English Medium

Which school I send my children to should be a personal decision. Which school you send yours, likewise is your decision.

Send them to Kayumba and save your money. I will spend my money on children's education and send them to better schools. Then I can shut up.
LIKUD,
 
Msulibasi,
This is what am talking about. Watu wanafikiri elimu Bora ni majengo Tu. Elimu ni mfumo
 
Which school I send my children to should be a personal decision. Which school you send yours, likewise is your decision. Send them to Kayumba and save your money. I will spend my money on children's education and send them to better schools. Then I can shut up.
Clap for urself
 
wanabuluzwa
Kwa kiswahili hiki ni bora ungesoma hizo English medium tu. Sisi wa Kayumba tunakiotea sana kiswahili.

BTW: Mimi ni product ya Kayumba level zote, nasomesha English medium. Kwa ninachokiona kwenye vitabu na kila kitu namshangaa sana LIKUD kwa haya aliyo andika.

Na sasa naelewa vizuri kwanini kuna tofauti kubwa kati ya Wakenya na Watanzania. Kujifunza ile lugha tangu utotoni na kuizungumza wakati wote pia kuitumia kusomea vitu toka chekechekea hadi chuo kikuu kuna faida na tofauti kubwa mnno na kutumia kiswahili kusomea mambo ya wazungu.

Uwezo ukiendelea kuruhusu kamwe sitomsomesha mtoto wangu Kayumba.
 
Kutafuta nini huko kayumba, labda maisha yaje yapinde kabisa ikiwamo kukosa hela ya kula.
Sitaacha kukomaa mwanangu apate elimu bora, hii itasaidia hata taifa kupunguza wajinga maana haya yanayoendelea huenda ni matokeo ya ukayumba.
 
Wale wa IST na shule zingine zinazotumia mitaala ya nje sawa... ila hawa wa daraja la kati kama tusiime, st marys etc.. tunakutana nao vyuo vikuu vya uma.. wakiwa vilaza tu wanakimbizwa na sisi kayumba darasani.. udsm wamejaa kibao tena sio kozi za coet wao wamejaa kozi za arts na social science na wanabuluzwa na kayumba.. narudia tena sijawai ona best student aliyeoma english medium chuo kikuu
Mkuu nina wataalam hapa toka Coet lakini hata kujieleza wanahangaika tu, peleka watoto shule.
 
Ndiyo wajibu na kazi ya mzazi yeyote mwenye akili.
Kutafuta nini huko kayumba, labda maisha yaje yapinde kabisa ikiwamo kukosa hela ya kula.
Sitaacha kukomaa mwanangu apate elimu bora, hii itasaidia hata taifa kupunguza wajinga maana haya yanayoendelea huenda ni matokeo ya ukayumba.
 
tubishane kwa facts, naomba utaje best student wa chuo kikuu chochote cha serikali ambaye shule ya msingi alisoma english medium..
Hao mabest students wangekuwa bora zaidi wangesoma shule za english medium. Kuna maprofesa waliosoma shule za Kayumba wanaozidiwa kingereza na watoto wa shule za msingi za English medium.

Nimewahi kumsikiliza mtoto wa std VI Kenya akiflow kingereza zaidi ya maprof wengi wa bongo tena wa vyuo vikuu bora Tanzania.

So long as tutaendelea kutumia kingereza kama lugha yetu ya kujifunzia,basi hatuna budi kuwaandaa watoto wetu kwenye ushindani mkali wa Dunia inayokuja.
 
kipuyo,

Kwa hiyo umeona mtoto wa kenya akiongeza kiingereza kuliko profesa wa Tanzania kitu cha ajabu.. ila hujaona mtoto huyo huyo akiwashinda kiingereza ma profesa wa ujerumani.

Ufaransa, china, japan etc ? Mbona hizo nchi nilizotaja zina ma profesa kibao hawajui kiingereza hujazisema.

Sisi lugha yetu ya taifa sio kiingereza.. huku kenya lugha yao ya taifa ni kiingereza.. kiswahili wanajifunza kwetu hushangai

Tanzania english ni 3rd language.. huku kenya english ni 2nd language
 
LIKUD,
Mkuu kama hii ni opinion yako binafsi sioni mantiki ya kila siku na threads za Private this Kayumba that.

Kila mtu apeleke anakoona kunamfaa ila kusema ada chini ya 10M+ ni sawa na Kayumba ni uchuro.

BTW: Hansard ya Jf inaonesha huyo bintiyo alihitimu 2019 kwenye thread ya Mlimani Primary mara tena 2020 ukatuambia yupo la saba.

Isitoshe hizo priority zako kwa bintiyo sidhani kama ni 10M+ (Loyola,Marian,St Mary's Mazinde) so better umpeleke tu Kayumba.
 
Mimi nilijiapia bora nizeeke bila kupata mtoto. Ila sio nilete kiumbe cha Mungu kije kisome shule haieleweki sijui bure alafu ajifunze chini ya mti, dawati moja wapo watatu. Alafu huyo huyo mwalimu amekopa NMB anapiga deiwaka bodaboda.

Dunia ya sasa nimpeleke mtoto anasoma mtaala wa kiswahili akianza form 1 ndio ajifunze yai. Sitasahau siku ya kwanza form one nakuta ubaoni wameandika what is civics naona nyota nyota. Mwalimu anaongea yai tu sielewi kitu.

Asante sana dada zangu mlipambana kwa hali na mali hadi nikafika level za juu. Ilikua kidogo niache shule kisa sielewi kingereza sema ndio hivyo ndugu wote walikua wameelimika miaka hiyo ya late 90's wakanituliza mzee Euroleague.

Ila mnaopeleka watoto shule nzuri jitahidini msiwaruhusu wacheze na watoto au familia za hovyo maana watajifunza ujinga Ru.
 
Mm nilichojifunza kwenye janga la covid 19 ni kuwa na uzazi wa mpango na kuiboresha familia yako. Chukulia mfano magufuri aseme kuanzia leo watu wajifungie ndani mwezi wasitoke nje. Je wale waliozaa hovyohovyo wakaanza kurundikana wote ndani ya chumba na sebule nn kitatokea. Shule sio inshu maana zitafungua na maisha yataendelea. Inshu mrundikano + umasikini.
Watoto ni baraka
 
Hela zangu. Mtoto wangu. Maamuzi yangu. Peleka busara zako kule. Kuna tofauti kubwa kati ya mtoto aliyesoma shule ya bei kubwa na ya bei ndogo.

Mtoto aliyesoma shule za bei kubwa atakua na network na watoto wa wakubwa. You know what I mean? Zikitokea kazi za mishahara minene wao wanajiconnect kirahisi tu.
 
MKATA KIU,
Tanzania kuna lugha mbili za Taifa,Kiswahili na Kingereza. Acheni kujifanya hamnazo linapokuja suala la kingereza.

Sisi tulishachagua kingereza kuwa lugha ya kuingia nayo kwenye soko la kimataifa. Sasa mtaendelea kutokufahamu hilo mpaka lini?
 
Tanzania kuna lugha mbili za Taifa,Kiswahili na Kingereza.
Acheni kujifanya hamnazo linapokuja suala la kingereza.
Sisi tulishachagua kingereza kuwa lugha ya kuingia nayo kwenye soko la kimataifa.
Sasa mtaendelea kutokufahamu hilo mpaka lini?

Unaelewa tofauti ya lugha ya pili na lugha ya tatu?

Na profesa je wa ujerumani , japan, ufaransa, china, korea ambaye hajui kiingereza.. na anapitwa na mtoto wa kikenya nae ni mpuuzi?
 
Back
Top Bottom