COVID-19: Waziri Mkuu Kassim Majaliwa atangaza ongezeko la Wagonjwa Wapya 196. Visa vyafikia 480

sikiliza BBC swahili ya jana usiku wamemaliza kila kitu
Hao BBC ndio wanao pima hao wagonjwa hapa nchini mkuu au na wao ni moja kati ya wataalam wa afya hapa nchini kwetu hadi wawe na hizo data sahihi?
 
Kea hiyo walisubiri mpaka BBC watangaze jana kwamba takwimu hazitolewi ndio watoke mafichoni? This is non sense.
 
Idadi ya waliokufa hakuna.
Bado hatujaambiwa waliopona (kama mkuu alivyosisitiza)

Bado hatuambiwi jumla ya watu waliofanyiwa vipimo.
Na je vipimo ni kwa mtu mwenye dalili peke yake?
Hatua nzur kwa kuujuza umma taarifa hizi
Tuliopo hapa inaelekea laki tano, Tupia majina 20 Tu yaliyowazi Kwa Maana ya wahisika wenyewe wametangulia Mbele za haki Kwa ugonjwa wa Corona, kama hakuna nyamaza, Maana yake unataka wafe wengine Tu, mnaoandika kudai waongezeke wafu na wagonjwa nyie mnaahadi nyingine siyo? Nyinyi hamguswi na Corona siyo? Ona aibu basi mkuu
 
Bora walivyoshinikizwa kutangaza. Well, takwimu zaweza kuwa sio sahihi 100% lakini walau unawapa watu tahadhari kuwa hatupo salama.
 
Hao BBC ndio wanao pima hao wagonjwa hapa nchini mkuu au na wao ni moja kati ya wataalam wa afya hapa nchini kwetu hadi wawe na hizo data sahihi?
pamoja na utetezi, nieshapoteza uaminifu kwa serikali na sitoweza kuiamini tena katika hili janga
 
Kutokana na babu yetu Zinjanthropus kuwa wa asili ya Afrika mashariki basi kuna miongoni mwetu bado hatuja evolve vya kutosha

Huwezi wewe leo umepewa dhamana ya uraisi halafu janga kama hili unachukua likizo na wala huifupishi


Asante mzee Zinjanthropus tutaendelea kukukumbuka
 
Kuna uwezekano hizi data zimechakachuliwa...

Chukua figure yao then zidisha kwa factor ya 1.40 ili kupata data kamili...

480*1.4 = 672.

Kwangu mimi hili ndilo jibu sahihi.
Nini kimekusuma kuja na hitimisho hilo?
 
Mimi hapa ofisini kwangu kuna mteja kaja akagoma kunawa mikono nakusema korona imeshaisha Tanzania

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…