kambonde
Member
- Sep 6, 2013
- 65
- 40
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mimi nilidhani ni idadi ya vifo kumbe maambukizi jamani viongozi wangu huu ungonjwa kama taarifa zinatolewa kiufadhaa hali tuliyonayo isingekuwa hivi tangu tarehe 22 mpaka Leo vijana na watu wazima na watoto hawachuwi taathari hata kidogo watu hawanawi tena mikono hawavai barakoa ndoo moja ya Maji kutwa mzima hapa Dukani kwangu haiishiWaziri Mkuu Kassim Majaliwa Ametangaza Ongezeko la Wagonjwa Wapya wa Corona Nchini 196. Tanzania Bara Wagonjwa 174 na Zanzibar 22. Amesema kuwa visa vya maambukizi ya Virusi vya Corona nchini Tanzania vimeongezeka na kufikia 480.
vifo 6 jumla 16.Vifo bado ni 10?
thats it, wafiche tu, tutafuatilia BBC na CNNSasa, simgeendelea kuficha kuliko , kutangaza Uongo.
Ndiyo mkuuVifo bado ni 10?
Wako wangapi mkuu?hawa waongo, wako zaidi ya hao
Wewe umesahaulika au?wapo wengi sana! kunakitu kimefichwa hapo! tuna taarifa hapo.
Huku kitaani kuna wimbi la watu wanaoanguka hali imekua ya kuogofya kiasi kwamba watu wamekua waoga kuzizika maiti hizo
Kuna uwezekano hizi data zimechakachuliwa...
Chukua figure yao then zidisha kwa factor ya 1.40 ili kupata data kamili...
480*1.4 = 672.
Kwangu mimi hili ndilo jibu sahihi.
Mlivyokuwa mnauliza mlitarajia nini mkuuthats it, wafiche tu, tutafuatilia BBC na CNN
hawa waongo, wako zaidi ya hao