Khantwe
JF-Expert Member
- Dec 20, 2012
- 59,415
- 119,473
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Vifo ni 6 ametangaza Waziri mkuu!Siku wakitangaza vifo niite mbwa!
Huyu hapa afisa Programu na Mmoja waJumbe na Wataalam wa Jopo Maalum la kupambana na Covid-19 toka Wizara ya Afya Dokta Tumaini Haonga akihojiwa :Nimeona mahala hapa hapa JamiiForums kuna Uzi umeanzishwa ukimnukuu Mmoja wa Wataalam Wizara ya Afya Dokta Tumaini Haonga akijimwambafai kuwa kwa sasa hawatangazi tena Idadi ya Waathirika wa COVID-19 kwakuwa hakuna Cases mpya na kwamba wengi wanapona na wamepona. Je, hii taarifa ya sasa ya Premier Majaliwa inatoa au inatoa Ujumbe gani Kwetu Watanzania hasa juu ya Serikali na Udhibiti wa hili Janga baya lililoko sasa Duniani? Tumuamini nani hasa kati yao?
Mbona unang'ang'ania waliokufa na waliopona mbona hutaki kusikia? Wamepona zaidi ya 100.Nashangaa vifo hawasemi sijui wanataka tuwashinikize ndio waseme wangapi wamefariki na wangapi wamepona?
notedSiku wakitangaza vifo niite mbwa!
Over thousands! Kama vifo ni chekwa chekwa, wagonjwa watakuw wanakaribia malaki!hawa waongo, wako zaidi ya hao
Hii movie hata trela sio bure, wanakufa mastaa ila hadui bado ni yule yule
Vifo?Waziri Mkuu Kassim Majaliwa Ametangaza Ongezeko la Wagonjwa Wapya wa Corona Nchini 196. Tanzania Bara Wagonjwa 174 na Zanzibar 22. Amesema kuwa visa vya maambukizi ya Virusi vya Corona nchini Tanzania vimeongezeka na kufikia 480.
Waziri Mkuu akinukuliwa, amesema...
''Kuanzia Aprili 23 - Aprili 28,2020 tumepata wagonjwa wapya wa Corona 196 ambapo kati ya hawa Bara wapo 174 na Zanzibar 22 ambao Waziri wa Afya Zanzibar ameshawatangaza, hii inafanya jumla ya visa vya Corona Tanzania kufikia 480 kutoka 284 ambavyo vilitangazwa Aprili 22''
huyo ni mbwaVifo ni 6 ametangaza Waziri mkuu!
Je, wewe ni nani sasa?
BBC swahili jana wamemaliza kila kitu. serikali ishapoteza uaminifu kwa watu wake siwezi kuamini...ni bora nishinde kwa page za mange na kigogo[emoji16][emoji16][emoji16].wabongo tuna tabu sanaa.
Haya tuwekee idadi yako sahihi.
Sent using Jamii Forums mobile app
... kwa kipindi hicho cha Aprili 23 - 28; ni wastani wa maambukizi 40 kila siku kwa waliopimwa; wasiopimwa ni wengi zaidi! Duuh! Siku nyingine 5 zijazo tutafikia 100 kwa siku and so on! Wakuu hii kitu ni hatari kuliko inavyochukuliwa! Tunaelekea uelekeo wa Italy na Spain hivi hivi tukiona!MATAGA wanasema hiyo ni ndogo sana ukilinganisha na watanzania milioni 55, wanasema tuchape kazi ili serikali ipate kodi.
Kwa nini unamtukana?huyo ni mbwa