COVID-19: Waziri Mkuu Kassim Majaliwa atangaza ongezeko la Wagonjwa Wapya 196. Visa vyafikia 480

COVID-19: Waziri Mkuu Kassim Majaliwa atangaza ongezeko la Wagonjwa Wapya 196. Visa vyafikia 480

Waziri Mkuu Kassim Majaliwa Ametangaza Ongezeko la Wagonjwa Wapya wa Corona Nchini 196. Tanzania Bara Wagonjwa 174 na Zanzibar 22. Amesema kuwa visa vya maambukizi ya Virusi vya Corona nchini Tanzania vimeongezeka na kufikia 480.

Waziri Mkuu akinukuliwa, amesema...

''Kuanzia Aprili 23 - Aprili 28,2020 tumepata wagonjwa wapya wa Corona 196 ambapo kati ya hawa Bara wapo 174 na Zanzibar 22 ambao Waziri wa Afya Zanzibar ameshawatangaza, hii inafanya jumla ya visa vya Corona Tanzania kufikia 480 kutoka 284 ambavyo vilitangazwa Aprili 22''
This is very serious, wastani wa Wagonjwa Wapya 39 kila siku?? Mungu tusaidie
 
Aisee Kumbe tutafika hata laki kwa chein hii ni hatari imagine walipokuwa waliambukiza wangapi?
 
Fa
Kuna uwezekano hizi data zimechakachuliwa...

Chukua figure yao then zidisha kwa factor ya 1.40 ili kupata data kamili...

480*1.4 = 672.

Kwangu mimi hili ndilo jibu sahihi.
Factor mbona ndogo sana mkuu inaweza kuwa more than that
 
Kuna mpuuzi mmoja anajiita 1954 nadhani hivi sasa ataelewa ni wapi kuna maambukizi mengi kati ya Tanzania na Kenya!!

Na ukweli ni kwamba, hapo wamepunguza sana idadi hadi waliopoona aibu kwamba hawawezi kupunguza zaidi na kuamua kutaja hao 174!!

Na Misukule ya Lumumba na ile Misukule ya Jiwe, endeleeni tu kutetea ujinga cuz it's a matter of time kabla hamjaanza kuzika wazazi, waume na watoto wenu wakati mnayemtetea akiwa kajificha kijijini kwao
Kenge mpaka atoke damu masikioni ndio anajua kuna hatari!
Mimi nawashangaa sana hao walamba miguu wa lumumba,wmpaka kwenye mauti bado wanashupaza shingo!@Bia yetu Etwege
na misukule wengine hawana utu wala uchungu na maisha ya watanzania,wao kutetea ugali kwanza!
 
... kwa kipindi hicho cha Aprili 23 - 28; ni wastani wa maambukizi 40 kila siku kwa waliopimwa; wasiopimwa ni wengi zaidi! Duuh! Siku nyingine 5 zijazo tutafikia 100 kwa siku and so on! Wakuu hii kitu ni hatari kuliko inavyochukuliwa! Tunaelekea uelekeo wa Italy na Spain hivi hivi tukiona!
Ukiwemo wewe kama huchukui hatua!
 
... kwa kipindi hicho cha Aprili 23 - 28; ni wastani wa maambukizi 40 kila siku kwa waliopimwa; wasiopimwa ni wengi zaidi! Duuh! Siku nyingine 5 zijazo tutafikia 100 kwa siku and so on! Wakuu hii kitu ni hatari kuliko inavyochukuliwa! Tunaelekea uelekeo wa Italy na Spain hivi hivi tukiona!
vipi kuhusu tatizo la kupumua ??
 
Kuna uwezekano hizi data zimechakachuliwa...

Chukua figure yao then zidisha kwa factor ya 1.40 ili kupata data kamili...

480*1.4 = 672.

Kwangu mimi hili ndilo jibu sahihi.
kuchakachua kunaanzia kufichwa kwa idadi ya waliopimwa
 
Mimi siwamini hawa jamaa kabisa, hata waseme vipi wao wabaki na idadi yao,
Wewe umeisha poteza ndugu wangapi? Na je! Una ndugu au jamaa yako aliyepata huo ugonjwa? Kama wapo, basi serikali inadanganya lakini kama hawapo, basi hiyo namba ya serikali itakuwa sawa. Yaani ni hivi kama wewe una ndugu zako wengi ni wagonjwa na jirani yako ndugu zake wengi ni wagonjwa na marafiki zako wote ni wagonjwa na wana ndugu zao wagonjwa au wamekufa kwa ugonjwa huo, basi hainashaka serikali watakuwa waongo!
Bila hivyo usibishe kipinzani bila kuwa na data.
 
Wagonjwa tunajua wako wengi sana, maana hata mimi hapa nina dalili zote za corona lkn bado sijaenda kupima ili waniingize kwenye data zao.

Swali la msingi ni kuna vifo vingapi mpaka sasa?
Unforgetable
Ndo huu Ujinga tunaoukemea, wewe unataka uambukize wengine siyo?

Jihimize ukapime na uwekwe karantini mkuu, Acha kueneza maambukizi
 
Fanyenyi urafiki na Tangawizi,asali na limao bila kisahau kujifukiza.
Ukidharau juu yako
 
Hii staili mpya ya Utangazaji. Ilituchukua zaidi ya mwezi kufika 294, na sasa inachukua siku 7 tu kufika 196.
 
Back
Top Bottom