COVID-19: Waziri Mkuu Kassim Majaliwa atangaza ongezeko la Wagonjwa Wapya 196. Visa vyafikia 480

COVID-19: Waziri Mkuu Kassim Majaliwa atangaza ongezeko la Wagonjwa Wapya 196. Visa vyafikia 480

Kenge mpaka atoke damu masikioni ndio anajua kuna hatari!
Mimi nawashangaa sana hao walamba miguu wa lumumba,wmpaka kwenye mauti bado wanashupaza shingo!@Bia yetuEtwege
na misukule wengine hawana utu wala uchungu na maisha ya watanzania,wao kutetea ugali kwanza!
Kwani wewe unasubiri lockdown ya serikali? Yaani utakuwa mbumbumbu wa kufa. Serikali ilishatoa tahadhali siku nyingi sasa wewe ni juu yako kusuka au kunyoa.
 
Who's laughing now? The unshakable leader sio jiwe lakini ni yule tuliemuona poyoyo ila katika jambo la uhai wa raia wake aliacha wataalamu wafanye kazi zao na yeye kama kiongozi akafanya yanayo mhusu big up M7
 
Sasa hivi ni tubua waokoe wenzako --- yaani tupo kwenye kombolela -- fainali mwezi wa kumi nani kabaki nani kachapa lapa...dadeki.

Corona hebu tuache kwanza....!
 
Waziri Mkuu Kassim Majaliwa Ametangaza Ongezeko la Wagonjwa Wapya wa Corona Nchini 196. Tanzania Bara Wagonjwa 174 na Zanzibar 22. Amesema kuwa visa vya maambukizi ya Virusi vya Corona nchini Tanzania vimeongezeka na kufikia 480.

Waziri Mkuu akinukuliwa, amesema...

''Kuanzia Aprili 23 - Aprili 28,2020 tumepata wagonjwa wapya wa Corona 196 ambapo kati ya hawa Bara wapo 174 na Zanzibar 22 ambao Waziri wa Afya Zanzibar ameshawatangaza, hii inafanya jumla ya visa vya Corona Tanzania kufikia 480 kutoka 284 ambavyo vilitangazwa Aprili 22''
Na waliopona wangapi hivyo wagonjwa wamebaki wangapi
 
Wewe umeisha poteza ndugu wangapi? Na je! Una ndugu au jamaa yako aliyepata huo ugonjwa? Kama wapo, basi serikali inadanganya lakini kama hawapo, basi hiyo namba ya serikali itakuwa sawa. Yaani ni hivi kama wewe una ndugu zako wengi ni wagonjwa na jirani yako ndugu zake wengi ni wagonjwa na marafiki zako wote ni wagonjwa na wana ndugu zao wagonjwa au wamekufa kwa ugonjwa huo, basi hainashaka serikali watakuwa waongo!
Bila hivyo usibishe kipinzani bila kuwa na data.
haya kaka MATAGA, naona umechukua uharo wa BASHITE kuwajibu CHADEMA , endelea, ila siku maiti yako ikisusiwa hapo lumumba utakumbuka huu uzi, utakuwa ahera na mabikra zako sabini ukistarehe
 
Hivi wewe una akili timamu kweli? Jiangalie ulivyojaza ujinga kichwani!
Sasa wewe vipi? Anakuambia uchukue tahadhari tena una mshambulia? Sasa hapo nani mwenye akili timamu kati yako na yeye?
 
mwaro.jpg
 
Ubishi lazima death rate itakuwa zaidi ya elfu kumi kama kama tutaenda na takwimu sahihi
 
Kuna uwezekano hizi data zimechakachuliwa...

Chukua figure yao then zidisha kwa factor ya 1.40 ili kupata data kamili...

480*1.4 = 672.

Kwangu mimi hili ndilo jibu sahihi.
Hawa jamaa hawaaminiki katika hesabu ya wagonjwa watakuja kupata waaminike katika sanduku la kura?
 
haya kaka MATAGA, naona umechukua uharo wa BASHITE kuwajibu CHADEMA , endelea, ila siku maiti yako ikisusiwa hapo lumumba utakumbuka huu uzi, utakuwa ahera na mabikra zako sabini ukistarehe
Utakufa kwanza wewe kabla yake!
 
We Mbwa wametangaza vifo 6 zaidi japo sina imani na hiyo idadi....
Vifo sita wakati kila kona ya nchi kwa kila mkoa na kwa kila siku watu wanazikwa kila siku? Huna macho? Huna masikio? Wewe ni mbumbumbu wa kung'amua mambo?Bosheni/danganya macho unaziita ni vifo?
 
Duuuuh! Tunaongoza EA kwa sasa! Wacha tu nchi majirani watutenge maana tunasambaza hili gonjwa makusudi sasa! Kama hatuchukui hatua proven na WHO na wataalamu wabobezi maana yake tunafanya makusudi mazima kulisambaza!

Hiki kiburi sijui kinatoka wapi! Ewe Mola wetu tuepushe na balaa hili.
Kiburi kinaanzia kwa yule aliyewadanganya eti wafanye maombi na kazi tuuu! Double standard nayo imechangia. Leo lisemwe hili kesho msitishwe, keshokutwa maombi, mtondogoo mask lazima. Lipi tuchukue.
 
ohooo sawa.
Sababu hao ndo mawaziri wapya wa afya.
Wakiweka picha nyingine za makaburini usisite kutuletea huku.
mlikuwa mnalalamika serikali inaficha idadi ya wagonjwa haya sasa hao hapo 480.
ukitaka lia ukitaka cheka..
Ila habari ndo hyo.
BBC swahili jana wamemaliza kila kitu. serikali ishapoteza uaminifu kwa watu wake siwezi kuamini...ni bora nishinde kwa page za mange na kigogo

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom