Dam55
JF-Expert Member
- Oct 8, 2015
- 5,641
- 11,958
Ok sawa mkuu waamini tu hao BBC mana inaonekana wana taarifa zote za hapa nchini kwetu tena wanakupenda kuliko kawaida ndio mana wanakupa takwimu za kila siku kuhusu ungonjwa, hongera kwa upendo wa dhati BBC wanao kuonesha mkuu.pamoja na utetezi, nieshapoteza uaminifu kwa serikali na sitoweza kuiamini tena katika hili janga