Bams
JF-Expert Member
- Oct 19, 2010
- 19,362
- 48,879
Taarifa za Serikali yetu haziaminiki hata kidogo. Sijui kwa nini Rais wetu anapenda kuendesha mambo kwa hadaa.
Angekuwa anayaishi yale maneno yake, "Msema ukweli ni mpenzi wa Mungu", tungefarijika sana. Lakini anachonena na anachotenda, ni vitu viwili visivyokutana. Big shame.
Sent using Jamii Forums mobile app
Angekuwa anayaishi yale maneno yake, "Msema ukweli ni mpenzi wa Mungu", tungefarijika sana. Lakini anachonena na anachotenda, ni vitu viwili visivyokutana. Big shame.
Sent using Jamii Forums mobile app