Cristiano Ronaldo asujudu baada ya kufunga goli muhimu

Hatutaki mashoga kwenye dini yetu,huyo mwamba analiwa mattercle
 
Furaha iliyopitiliza hufanya mtu jufanya vitu ambavyo si vya kawaida
Kweli kabisa, ni vyema furaha yake imetufurahisha zaidi
Hatutaki mashoga kwenye dini yetu,huyo mwamba analiwa mattercle
Mradi kaanza kusujudu, aliyemsujudia atamwongowa, usiwe na hofu.

In Shaa Allah na wewe "maweed" yatakusannif usujudu.
 
Kweli mzubgu si nwenzagu, iiipokuwa hivi sasa tunaona kumekuwa "trend" ya wazungu wengi kusilim duniani. Tunaomba In shaa Allah soon tushuhudie Ronaldo akisilim.
Hivi kati ya wazungu kusilimu na wazungu kuwa mashoga kila kukicha kipi kinaongoza?
 
Kusujudu ni utamaduni wa kawaida wa kiarabu, hata wabagani wa kiarabu husujudu, waarabu wengine wengi husujudu wakipewa pombe nk.

Unamsujudiaje mwenyezi mungu ukiwa kwenye mchezo wa kikafir kama mpira?
Unamsujudiaje Allah ukiwa umevaa bukta na mabaja yakionekana?

Jamani embu tuacheni kuchafua imani za watu.
 
Kweli mzubgu si nwenzagu, iiipokuwa hivi sasa tunaona kumekuwa "trend" ya wazungu wengi kusilim duniani. Tunaomba In shaa Allah soon tushuhudie Ronaldo akisilim.
Anasilumu kuwa Dhehebu gan ,Shia,Sunni, Ahmadiya,n.k ?
 
Miaka ya nyuma akicheza Madrid kuna tetesi zilivumishwa na wafuasi wenunkuwa Ronaldo kaolewa na Mmoroco na picha zikasambazwa akiwa na Mmoroco wake. Tuombe uzima hili nalo liwe kweli....sijui watamkata kichwa kwa tuhuma zake za huko nyuma😂😂



 
🗣️ Takbiiiiiiiir! Takbiiiiiir!
 
Kweli mzubgu si nwenzagu, iiipokuwa hivi sasa tunaona kumekuwa "trend" ya wazungu wengi kusilim duniani. Tunaomba In shaa Allah soon tushuhudie Ronaldo akisilim.
Panapo majaliwa, atasilim tu! Na mke wake pia Georgina, pamoja na watoto wao wote watasilim tu. InshaAllah!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…