mzee wa liver
JF-Expert Member
- Dec 14, 2014
- 83,441
- 431,885
Messi ana Ballon dor 7 mkuuBruh ishu kama ya ballon dor ukiachana na kuongoza magoli na kuchukua vikombe imetawaliwa pia na mapenzi ya watu kwenye kukupigia kura na uwezo wa mchezaji binafsi uwanjan
Dont take it personal mkuuChuki ni mzigo mzito ukiubeba utaumia,,
La pulga mwenyewe anakwambia mshindani wake ni CR7 wee ambae hata dana dana kumi hufikishi unapiga kelele
SamwalekoUyo Messi kafanya kitu Gani Cha ajabu icho ambacho Ronaldo hajafanya Hadi useme Ronaldo alinganishwe na takataka zako kina lewandoski
Nin kitu Gani hiki naona madudu madudu ya Google nyi vijana ndio kweli mnataka tujadili mpira Ata takwimu tu za Messi had Google niaze Sasa kukuliza Ivo vikombe kaaza kuchukua na umri gani utajibu nin zaidi yakukimbilia GoogleAngalia data no data no right to typeView attachment 2451235
France league 1 kweli embu FUTA uwo ujinga wakoAngalia data no data no right to typeView attachment 2451235
Kwahiyo hizi data si sahihi au [emoji848][emoji847]Wew uwa unangalia kweli mpira kiatu Cha dhahabu kabeba mbappe au wew unaota
Uwe na heshima sio mtoto mwenzio mm hizo data sio lazima u Google zinajulikana tu Mfuate gwiji wa Tetesi Twitter Fabrizio Romano utapata faida kubwa sana kujua Soka la KimataifaNin kitu Gani hiki naona madudu madudu ya Google nyi vijana ndio kweli mnataka tujadili mpira Ata takwimu tu za Messi had Google niaze Sasa kukuliza Ivo vikombe kaaza kuchukua na umri gani utajibu nin zaidi yakukimbilia Google
Nilizan Messi maana mapicha Yako naona vivuli tupuKwahiyo hizi data si sahihi au [emoji848][emoji847]View attachment 2451247View attachment 2451248
Sent from my CPH2387 using JamiiForums mobile app
Achana naye anafikiria kwa kutumia visiginoKwahiyo hizi data si sahihi au [emoji848][emoji847]View attachment 2451247View attachment 2451248
Sent from my CPH2387 using JamiiForums mobile app
Sasa kama zinajulikana kwanin unataleta matakakataka Yako apaUwe na heshima sio mtoto mwenzio mm hizo data sio lazima u Google zinajulikana tu Mfuate gwiji wa Tetesi Twitter Fabrizio Romano utapata faida kubwa sana kujua Soka la Kimataifa
Kuna vitu viwili watu wanachanganyaKwahiyo hizi data si sahihi au [emoji848][emoji847]View attachment 2451247View attachment 2451248
Sent from my CPH2387 using JamiiForums mobile app
Cristiano Ronaldo ana champions league tano 2008,2014,2016,2017,2018 Messi wako anazo ngapi
Shida ya kunywa mataputa ndio hiyo badili Kinywaji kunywa hata Gongo utakuwa na akili kidogoSasa kama zinajulikana kwanin unataleta matakakataka Yako apa
Huna lolote we unaleta takwimu ambazo hata mtoto wa chekecha anaweza kukushangaa eti France leauge 1 ndio kitu Gani hichoShida ya kunywa mataputa ndio hiyo badili Kinywaji kunywa hata Gongo utakuwa na akili kidogo
Wew unayefikili Kwa kutumia akili za watu ndio unafikilia kwakutumia Mtumbo wako huoAchana naye anafikiria kwa kutumia visigino
Pole sana, kunywa maji mengi ulaleHaya andaa kitambaa cha kumfuta machozi Messi wako leo usiku
kachukua World CupUyo Messi kafanya kitu Gani Cha ajabu icho ambacho Ronaldo hajafanya Hadi useme Ronaldo alinganishwe na takataka zako kina lewandoski
Angalau wewe ila hao team Cr7 sijui wamevutiwa na kitu gani kwa huyo jamaa!!!??? Au sura!?Mchezaji wangu bora wa mda wote ni Ronaldinho Gaucho.
Aya, kachukua World Cup...unasemaje?Uyo Messi kafanya kitu Gani Cha ajabu icho ambacho Ronaldo hajafanya Hadi useme Ronaldo alinganishwe na takataka zako kina lewandoski
KabisaChristiano Ronaldo hamfikii hata Thierry Henry