Jobless_Billionaire
JF-Expert Member
- Aug 9, 2022
- 3,106
- 8,101
Messi is the best hata kama Ronaldo asipobezwaUna haki ya kuropoka kwa vile kombe limeenda Argentina!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Messi is the best hata kama Ronaldo asipobezwaUna haki ya kuropoka kwa vile kombe limeenda Argentina!
Mkuu leo hatuwezi kuwaambia lolote.Messi is the best hata kama Ronaldo asipobezwa
Asante kwa kutambua hilo mkuu debate imeisha iyoUna haki ya kuropoka kwa vile kombe limeenda Argentina!
This aged well🤣🤣🤣Haya andaa kitambaa cha kumfuta machozi Messi wako leo usiku
Akijaribu kurudi 2026 huyo babu atafia uwanjaniKatika jambo ambalo litamtesa cr7 maisha yake yote ni kutochukua World Cup na hasa akikumbuka kuwa Messi kashachukua. Kwa namna nnavyomfahamu msishangae akiforce World Cup ya 2026 akatimize ndoto yake
Ni vyema kama umetambua hiloMkuu leo hatuwezi kuwaambia lolote.
Malizeni kushangilia ushindi tuendelee na mengine!
Angalau wewe ila hao team Cr7 sijui wamevutiwa na kitu gani kwa huyo jamaa!!!??? Au sura!?
Ni kweli mkuu ila kwenye sanaa ya soka muongeze na JJ OKOCHA huyu huyu jamaa ni kwa kuwa aliwahi kustaafu ila nikaangaliaga clip zake huwa naenjoy soka.Tangu nimeanza kutizama Soka Kwangu Gaucho akifuatiwa na Zidane naona niwatu waajabu sana, Walicho fanya kwenye Soka ni Sanaa ya ajabu sana. Wali utiisha mpira vile watakavyo wao.
Halafu mimi naona mara nyingi Ronaldo ndio anafananishwa na Mess na sio Mess kufananishwa na Ronaldo.Sijaelewa, kwanini ronaldo anatumia dakika 113 kupata goli wakati messi anatumia dakika 104...halafu ronaldo ndio aitwe goal machine??
Msaada tafazali
Wewe unayejua ndo unataka kutuaminisha habari za Ronaldinho, we mbona kiazi Sana boss , watu tunatembea na data we unatembea Kwa mahaba , Acha ujinga , hebu leta data za huyo Meno nje tukuletee data hata za Cristiano RonaldoHujui lolote kuhusu football na hutakuja kujua. Kwa taarifa yako ukimtoa Messi wachezaji wengine wooote wa sasa ni takataka mbele ya Ronaldinho, labda kama hukuwahi kumuona.
Na Gaucho alijifunza mengi kutoka kwa JJ Okocha walipokuwa PSG.Kama umefuatilia interviews nyingi alizofanyiwa MESSI akiulizwa ni mchezaji gani aliyekupa hamasa na kukujenga kimchezo huwa anamkiri RONALDINHO.
Unasema kila walipokuwa wakimaliza mazoezi ya pamoja pale Nou Camp, Ronaldinho alikuwa anafanya mazoezi binafsi na Messi kwa masaa mawili peke yao.
Ukwel ilikuw simpendi Mess lakini siku ile anatupiga Man u goli la kichwa cha adabu hadi kumtetemesha mikono Sir Feg hapo nilianza kumkubali, kiukweli tukiweka ushabiki kando Ronaldo ni mchezaji mzuri ila Mess is Fantastic halafu hana makuu yule bwana.Kuna watu imewauma sana Messi kuchukua kombe la dunia
Messi kamzima Ronaldo kwa usiku mmoja tu just imagine
Kipa ndio kachukua world cup sio messi. Yeye kafanya kupewa tuAya, kachukua World Cup...unasemaje?
Meza maweKipa ndio kachukua world cup sio messi. Yeye kafanya kupewa tu
Ukiwapima kwa namba utamchukulia poa Gaucho ila ukiwapima kwa uwezo wa kuuchezea na kuutawala mpira uwanjani hautamlingamisha Gaucho na yeyote. Kwangu mimi burudani yangu ni kuona namna mchezaji anaufanya mpira umtumikie na si namba za magoli na assist pekee. Endelea kuishi kwa mazoea, ila pamoja na yote poleni sana kwa tukio la jana, najua makasiriko yote haya ni kwa Messi.Wewe unayejua ndo unataka kutuaminisha habari za Ronaldinho, we mbona kiazi Sana boss , watu tunatembea na data we unatembea Kwa mahaba , Acha ujinga , hebu leta data za huyo Meno nje tukuletee data hata za Cristiano Ronaldo
Acheni upotoshajiMeza mawe
Wewe ndo unakariri , mnajitia mnajua mpira kumbe hamna lolote , uwezo wa mtu unapimwa Kwa mafanikio anayoyapata Kwa uwezo wake binafsi , sio kukata mauno , kupiga danadana au ball control , hcho ndo mnachomsifia huyo Meno nje hamna kingine cha maana ,Ukiwapima kwa namba utamchukulia poa Gaucho ila ukiwapima kwa uwezo wa kuuchezea na kuutawala mpira uwanjani hautamlingamisha Gaucho na yeyote. Kwangu mimi burudani yangu ni kuona namna mchezaji anaufanya mpira umtumikie na si namba za magoli na assist pekee. Endelea kuishi kwa mazoea, ila pamoja na yote poleni sana kwa tukio la jana, najua makasiriko yote haya ni kwa Messi.