Cristiano Ronaldo kama kulinganishwa alinganishwe na akina Lewandowski na Ibrahmovich

Cristiano Ronaldo kama kulinganishwa alinganishwe na akina Lewandowski na Ibrahmovich

Argentina ya Lionel messi kuchukua world cup ni upotoshaji??!!!!!! Sawa kombe kachukua Portugal
Swala la messi kuchukua kombe la dunia si kweli bora uniambie Martinez messi kafanya kupewa kipa ndio kafanya kazi kubwa punguzeni ushabiki maandaz
 
Ujuha mwingine bwana kama Ronaldo angekulia kwenye club ya real Madrid na academy ya Madrid basi hayo magoli yangekuwa mara mbili yake Ronaldo amechelewa kutoka kwenye ramani ya soka kaanza mbali yaani ucheze na iniesta na xavi ufunge goli hizo tena tangu yupo mdogo ongeeni ila mbape ni version ya Ronaldo alipokuwa mdogo.
 
Swala la messi kuchukua kombe la dunia si kweli bora uniambie Martinez messi kafanya kupewa kipa ndio kafanya kazi kubwa punguzeni ushabiki maandaz
Wewe inaonekana hata Mpira hujui....kombe linabebwa na MTU au timu? Messi yeye sio muargentina? Kanywe oil
 
Wewe inaonekana hata Mpira hujui....kombe linabebwa na MTU au timu? Messi yeye sio muargentina? Kanywe oil
Yaan punguzeni unafiq basi ni kweli kombe lina bebwa na timu na messi ni muajentina basi walau hata kishingo upande tambueni na mchango wa kipa aliyemchukulia huyo messi wenu kombe
 
Pamoja na mafanikio yote ya Messi bado wapenzi wake hawawezi kumweka kwenye nafasi yake bila kwenye vichwa vyao kumfikiria Ronaldo.

Messi kamzidi Ronaldo kwa kila kitu kabla hata ya kombe la dunia, ila kwa sababu mashabiki wake mmemjaza Ronaldo kichwani basi historia inawezakuwa Pele, Maradona, MessiRonaldo.
 
Yaan punguzeni unafiq basi ni kweli kombe lina bebwa na timu na messi ni muajentina basi walau hata kishingo upande tambueni na mchango wa kipa aliyemchukulia huyo messi wenu kombe
Kwani Huyo kipa ni mVenezuela? Tunapoipongeza argentina kubeba kombe kwanini uone kuwa yeye kawa excluded? Yeye sio muargentina?
 
Pamoja na mafanikio yote ya Messi bado wapenzi wake hawawezi kumweka kwenye nafasi yake bila kwenye vichwa vyao kumfikiria Ronaldo.

Messi kamzidi Ronaldo kwa kila kitu kabla hata ya kombe la dunia, ila kwa sababu mashabiki wake mmemjaza Ronaldo kichwani basi historia inawezakuwa Pele, Maradona, MessiRonaldo.
Tatizo mashabiki wa Ronaldo mna kelele sana huwa mnapaniki sana.

Sisi tulingoja hili kombe ili tufunge mjadala.

Tuliwavulia sana

Kwa Sasa hatuhitaji tena mjadala na nyie tumeshafunga ukurasa.

Saivi mkaanza kukimbizana na mashabiki wa Mbapenalty.
 
Ujuha mwingine bwana kama Ronaldo angekulia kwenye club ya real Madrid na academy ya Madrid basi hayo magoli yangekuwa mara mbili yake Ronaldo amechelewa kutoka kwenye ramani ya soka kaanza mbali yaani ucheze na iniesta na xavi ufunge goli hizo tena tangu yupo mdogo ongeeni ila mbape ni version ya Ronaldo alipokuwa mdogo.
Mmehamia kwa Mbappe naona haya watakaokua hai huyo Mbappe akifikisha miaka 35+ then akawa bado ancheza kwenye hii peak alionayo sasa hapo tutasema kafanikiwa jama kama hawa kaka zake wawili. Longevity is no easy thing to attain tumeona generational talents kabla ya Mbappe nyingi ila zikafifia kwenye early 30s. Mbappe bado ana safari ndefu ya kuprove hilo sasa hivi ni mapema sana kumfananisha na Messi
 
Ujuha mwingine bwana kama Ronaldo angekulia kwenye club ya real Madrid na academy ya Madrid basi hayo magoli yangekuwa mara mbili yake Ronaldo amechelewa kutoka kwenye ramani ya soka kaanza mbali yaani ucheze na iniesta na xavi ufunge goli hizo tena tangu yupo mdogo ongeeni ila mbape ni version ya Ronaldo alipokuwa mdogo.
Nenda kalie nae hizo sababu zako hazina mashiko.
 
Hapa natoa comment moj tu kwa mashabiki maandazi wa Ronaldo fake.... "mtateseka sana maisha yennu yote" kuanzia Jana tarehe 18/12/2022....

Hakuna mjadala tena...
Kusanyeni magoli yote ya Ronaldo wenu fake+uefa 5 alizonazo+balloon d'or 5 thamani yake haifiki hata robo ya kombe la dunia alilopata Messi10 Jana....

Nasubiri mapovu yenu.... Kenchy type!!!!!
 
Pamoja na mafanikio yote ya Messi bado wapenzi wake hawawezi kumweka kwenye nafasi yake bila kwenye vichwa vyao kumfikiria Ronaldo.

Messi kamzidi Ronaldo kwa kila kitu kabla hata ya kombe la dunia, ila kwa sababu mashabiki wake mmemjaza Ronaldo kichwani basi historia inawezakuwa Pele, Maradona, MessiRonaldo.
Acheni unafiki. Sio tumemjaza Ronaldo kichwani. Wakati Ronaldo ndio amechukua Euro kama cheerleader na Messi anakosa penalty copa America huko mlinanga sana Messi na kusema hana mafanikio kimataifa na hafai kufananishwa na akina pele na Maradona kwa kua hana World cup. Leo kampiku huyo Piers Morgan mnageuza maneno
 
Back
Top Bottom