Shida kuna waajemi pia hawataki utawala wa kiislam wanataka nchi irudi kama zama za kabla ya mapinduzi ya kiislam,, nchi ilikua huru,,,,......Unajidanganya Ayatollah hawezi kuacha huo mpango anajua anazubaishwa kama Sadam. Waajemi wana akili kuliko mlivyowazoea waarabu hapo bado kazi ipo
Sijakataa hilo halipingiki ila some how CGTN inajitahidi kuepuka double standards.Vyombo vyote vya habar hasa vikubwa vinaendeshwa kuendana na upande serikali ilipo
Waajemi hao ni asilimia ndogo sana.Shida kuna waajemi pia hawataki utawala wa kiislam wanataka nchi irudi kama zama za kabla ya mapinduzi ya kiislam,, nchi ilikua huru,,,,......
Wakirudi huko wamepotea Iraq imerudi nini saivi unachokiona pale? Huo ni mtego sema raia hua hawaelewi hata Libya walitaka kurudi lakini saivi wanajuta, US,UK na France hizo government ni evil hakuna mfano hawajali chochote zaidi ya maslahi yao hapo utawekwa uongozi wao hakuna wananchi wakawaida watakocho faidi na mzayuni nae hivyo hivyo wanaamini katika uhalibifu na hawaaminikiShida kuna waajemi pia hawataki utawala wa kiislam wanataka nchi irudi kama zama za kabla ya mapinduzi ya kiislam,, nchi ilikua huru,,,,......
Duniani mwenye nguvu ndo hutawala.......Wakirudi huko wamepotea Iraq imerudi nini saivi unachokiona pale? Huo ni mtego sema raia hua hawaelewi hata Libya walitaka kurudi lakini saivi wanajuta, US,UK na France hizo government ni evil hakuna mfano hawajali chochote zaidi ya maslahi yao hapo utawekwa uongozi wao hakuna wananchi wakawaida watakocho faidi na mzayuni nae hivyo hivyo wanaamini katika uhalibifu na hawaaminiki
Haohao wachache ndo wanatumika na wayahudi kufika mpaka jikoni,,,,,,japo naona ayatollah nae alijitahidi kutumia hio mbinu kwa myahudi ila inafeli,,,,,kwa matukio aliyofanya myahudi ndani ya nchi ya ayatollah yanaonyesha kabisa circle ya ayatollah inashidaWaajemi hao ni asilimia ndogo sana.
Asilimia kubwa wanaukubali huu utawala.
Kama wangekua wengi hawaukubali wangeshaupindua.
Unajua kaka mapinduzi ya kwanza yalifanywa na wanafunzi?
Wakirudi huko wamepotea Iraq imerudi nini saivi unachokiona pale? Huo ni mtego sema raia hua hawaelewi hata Libya walitaka kurudi lakini saivi wanajuta, US,UK na France hizo government ni evil hakuna mfano hawajali chochote zaidi ya maslahi yao hapo utawekwa uongozi wao hakuna wananchi wakawaida watakocho faidi na mzayuni nae hivyo hivyo wanaamini katika uhalibifu na hawaaminikiShida kuna waajemi pia hawataki utawala wa kiislam wanataka nchi irudi kama zama za kabla ya mapinduzi ya kiislam,, nchi ilikua huru,,,,......
Sasa na Iran nae ananguvu na anafanya adui yake US anacho kifanya saivi anaweka serikali zake mdogomdogo hapo M.E ukianza na Yemen,Syria, soon ataweka Lebanon na gaza na Iraq kinachomtesa ni pesa tu ilipigwa vikwazo lakin BRiCS ikikaa mkao anatusuaDuniani mwenye nguvu ndo hutawala.......
Wakristo wa africa kwa kushoboka halafu hao wazungu hawana hata time na nyieAmerica the Christian State
Bado Iran imeonesha kuwa imara hadi kufika Sasa.Haohao wachache ndo wanatumika na wayahudi kufika mpaka jikoni,,,,,,japo naona ayatollah nae alijitahidi kutumia hio mbinu kwa myahudi ila inafeli,,,,,kwa matukio aliyofanya myahudi ndani ya nchi ya ayatollah yanaonyesha kabisa circle ya ayatollah inashida
Hata huko BRICS atatumika tu,,,,ajicheki sana na mrusi anaweza akamtumia kwa maslahi yake huko mbeleni akajikataWakirudi huko wamepotea Iraq imerudi nini saivi unachokiona pale? Huo ni mtego sema raia hua hawaelewi hata Libya walitaka kurudi lakini saivi wanajuta, US,UK na France hizo government ni evil hakuna mfano hawajali chochote zaidi ya maslahi yao hapo utawekwa uongozi wao hakuna wananchi wakawaida watakocho faidi na mzayuni nae hivyo hivyo wanaamini katika uhalibifu na hawaaminiki
Sasa na Iran nae ananguvu na anafanya adui yake US anacho kifanya saivi anaweka serikali zake mdogomdogo hapo M.E ukianza na Yemen,Syria, soon ataweka Lebanon na gaza na Iraq kinachomtesa ni pesa tu ilipigwa vikwazo lakin BRiCS ikikaa mkao anatusua
Sasa inabidi kwanza akomae na ndani kwake,,,,,,huku kutaka kutawala na nchi nyingine za ukanda ule bado msuli hana,,,aweke sawa kwake na pia kiuchumi ajitahidi akue sana, hapo ndo anaweza kua mbabe kamili wa ule ukandaBado Iran imeonesha kuwa imara hadi kufika Sasa.
Maana kama ingekua taifa legelege kiintelijensia basi utawala ungeshaanguka muda sana.
Hayo mengine tunaita ajali kazini.
Ameshafanikiwa kuwa mbabe tayari na kwake kupo sawa japo Kuna mashimo kiasi.Sasa inabidi kwanza akomae na ndani kwake,,,,,,huku kutaka kutawala na nchi nyingine za ukanda ule bado msuli hana,,,aweke sawa kwake na pia kiuchumi ajitahidi akue sana, hapo ndo anaweza kua mbabe kamili wa ule ukanda
Umewah kuishi china nikuulize kwanzaSijakataa hilo halipingiki ila some how CGTN inajitahidi kuepuka double standards.
Wasije msafisha yeye, mbele ya Muislam hakuna atakachoweza kufanya zaidi ya alicho sema Allah; Nothing will happen to us except what God has decreedmakobaz watanyooka...hili ni dume la mbeguu mazeee...litatusafishia uchafu wotee
Kikubwa waarabu ndo watakaomuangusha, myahudi anatumia fursa tuAmeshafanikiwa kuwa mbabe tayari na kwake kupo sawa japo Kuna mashimo kiasi.
Licha ya vikwazo vya kiuchumi tangu 1979 Iran ni nchi ya uchumi wa kati wa juu.
Sasa jiulize ikiondolewa vikwazo itakua Kwa kasi ya aina gani!?
Licha ya hivyo still anao msuli wa kiuchumi ndio maana ameweza kuanziasha Hadi proxy wake na anamwaga zaidi ya $50 billions Kwa hizo proxy.
Kama kuwa mbabe ameshakua mbabe,ndio maana HAITOSHI taifa moja kupambana na Iran.
Hiyo Israel yenyewe inapewa mkono na USA na UK katika takriban mission zake zote dhidi ya Iran.
Yes and no…Marekani ruksa muda mrefu sana,waliweka hivyo kuwavutia vijana wengi kujiunga na jeshi.
Dunia hio haipo tenaDunia ina wababe wanaokuchagulia hadi ulale saa ngapi!
Hata Myanmar wanazibuana wasiokuwa waislam na hakuna shida ila kupigwa kidogo tu na hamas imekua tatizo makafiri banaWaislamu ni watu wa ajabu kabisa!
Sudan wanauana waislamu kwa Waislamu na wala hawana shida!
Ila Waislamu wakifumuliwa na wasio waislamu ndipo tabu inaanza 🤣 🤣 🤣 🤣
Trump yupi au yule yule wa miaka sita nyumaAyatollaah tokea Trump ashinde nasikia halali, hapati choo, maana anajua kabisa, The Iron man Trump will wipe off Ayatollaah regime instantly from space..!!