Crusade is back!! Huyu ndie atakae kuwa waziri mpya wa defence huko USA

Crusade is back!! Huyu ndie atakae kuwa waziri mpya wa defence huko USA

Unajidanganya Ayatollah hawezi kuacha huo mpango anajua anazubaishwa kama Sadam. Waajemi wana akili kuliko mlivyowazoea waarabu hapo bado kazi ipo
Shida kuna waajemi pia hawataki utawala wa kiislam wanataka nchi irudi kama zama za kabla ya mapinduzi ya kiislam,, nchi ilikua huru,,,,......
 
Shida kuna waajemi pia hawataki utawala wa kiislam wanataka nchi irudi kama zama za kabla ya mapinduzi ya kiislam,, nchi ilikua huru,,,,......
Waajemi hao ni asilimia ndogo sana.
Asilimia kubwa wanaukubali huu utawala.
Kama wangekua wengi hawaukubali wangeshaupindua.
Unajua kaka mapinduzi ya kwanza yalifanywa na wanafunzi?
 
Shida kuna waajemi pia hawataki utawala wa kiislam wanataka nchi irudi kama zama za kabla ya mapinduzi ya kiislam,, nchi ilikua huru,,,,......
Wakirudi huko wamepotea Iraq imerudi nini saivi unachokiona pale? Huo ni mtego sema raia hua hawaelewi hata Libya walitaka kurudi lakini saivi wanajuta, US,UK na France hizo government ni evil hakuna mfano hawajali chochote zaidi ya maslahi yao hapo utawekwa uongozi wao hakuna wananchi wakawaida watakocho faidi na mzayuni nae hivyo hivyo wanaamini katika uhalibifu na hawaaminiki
 
Wakirudi huko wamepotea Iraq imerudi nini saivi unachokiona pale? Huo ni mtego sema raia hua hawaelewi hata Libya walitaka kurudi lakini saivi wanajuta, US,UK na France hizo government ni evil hakuna mfano hawajali chochote zaidi ya maslahi yao hapo utawekwa uongozi wao hakuna wananchi wakawaida watakocho faidi na mzayuni nae hivyo hivyo wanaamini katika uhalibifu na hawaaminiki
Duniani mwenye nguvu ndo hutawala.......
 
Waajemi hao ni asilimia ndogo sana.
Asilimia kubwa wanaukubali huu utawala.
Kama wangekua wengi hawaukubali wangeshaupindua.
Unajua kaka mapinduzi ya kwanza yalifanywa na wanafunzi?
Haohao wachache ndo wanatumika na wayahudi kufika mpaka jikoni,,,,,,japo naona ayatollah nae alijitahidi kutumia hio mbinu kwa myahudi ila inafeli,,,,,kwa matukio aliyofanya myahudi ndani ya nchi ya ayatollah yanaonyesha kabisa circle ya ayatollah inashida
 
Shida kuna waajemi pia hawataki utawala wa kiislam wanataka nchi irudi kama zama za kabla ya mapinduzi ya kiislam,, nchi ilikua huru,,,,......
Wakirudi huko wamepotea Iraq imerudi nini saivi unachokiona pale? Huo ni mtego sema raia hua hawaelewi hata Libya walitaka kurudi lakini saivi wanajuta, US,UK na France hizo government ni evil hakuna mfano hawajali chochote zaidi ya maslahi yao hapo utawekwa uongozi wao hakuna wananchi wakawaida watakocho faidi na mzayuni nae hivyo hivyo wanaamini katika uhalibifu na hawaaminiki
Duniani mwenye nguvu ndo hutawala.......
Sasa na Iran nae ananguvu na anafanya adui yake US anacho kifanya saivi anaweka serikali zake mdogomdogo hapo M.E ukianza na Yemen,Syria, soon ataweka Lebanon na gaza na Iraq kinachomtesa ni pesa tu ilipigwa vikwazo lakin BRiCS ikikaa mkao anatusua
 
Haohao wachache ndo wanatumika na wayahudi kufika mpaka jikoni,,,,,,japo naona ayatollah nae alijitahidi kutumia hio mbinu kwa myahudi ila inafeli,,,,,kwa matukio aliyofanya myahudi ndani ya nchi ya ayatollah yanaonyesha kabisa circle ya ayatollah inashida
Bado Iran imeonesha kuwa imara hadi kufika Sasa.
Maana kama ingekua taifa legelege kiintelijensia basi utawala ungeshaanguka muda sana.
Hayo mengine tunaita ajali kazini.
 
Wakirudi huko wamepotea Iraq imerudi nini saivi unachokiona pale? Huo ni mtego sema raia hua hawaelewi hata Libya walitaka kurudi lakini saivi wanajuta, US,UK na France hizo government ni evil hakuna mfano hawajali chochote zaidi ya maslahi yao hapo utawekwa uongozi wao hakuna wananchi wakawaida watakocho faidi na mzayuni nae hivyo hivyo wanaamini katika uhalibifu na hawaaminiki

Sasa na Iran nae ananguvu na anafanya adui yake US anacho kifanya saivi anaweka serikali zake mdogomdogo hapo M.E ukianza na Yemen,Syria, soon ataweka Lebanon na gaza na Iraq kinachomtesa ni pesa tu ilipigwa vikwazo lakin BRiCS ikikaa mkao anatusua
Hata huko BRICS atatumika tu,,,,ajicheki sana na mrusi anaweza akamtumia kwa maslahi yake huko mbeleni akajikata
 
Bado Iran imeonesha kuwa imara hadi kufika Sasa.
Maana kama ingekua taifa legelege kiintelijensia basi utawala ungeshaanguka muda sana.
Hayo mengine tunaita ajali kazini.
Sasa inabidi kwanza akomae na ndani kwake,,,,,,huku kutaka kutawala na nchi nyingine za ukanda ule bado msuli hana,,,aweke sawa kwake na pia kiuchumi ajitahidi akue sana, hapo ndo anaweza kua mbabe kamili wa ule ukanda
 
Sasa inabidi kwanza akomae na ndani kwake,,,,,,huku kutaka kutawala na nchi nyingine za ukanda ule bado msuli hana,,,aweke sawa kwake na pia kiuchumi ajitahidi akue sana, hapo ndo anaweza kua mbabe kamili wa ule ukanda
Ameshafanikiwa kuwa mbabe tayari na kwake kupo sawa japo Kuna mashimo kiasi.
Licha ya vikwazo vya kiuchumi tangu 1979 Iran ni nchi ya uchumi wa kati wa juu.
Sasa jiulize ikiondolewa vikwazo itakua Kwa kasi ya aina gani!?
Licha ya hivyo still anao msuli wa kiuchumi ndio maana ameweza kuanziasha Hadi proxy wake na anamwaga zaidi ya $50 billions Kwa hizo proxy.
Kama kuwa mbabe ameshakua mbabe,ndio maana HAITOSHI taifa moja kupambana na Iran.
Hiyo Israel yenyewe inapewa mkono na USA na UK katika takriban mission zake zote dhidi ya Iran.
 
Ameshafanikiwa kuwa mbabe tayari na kwake kupo sawa japo Kuna mashimo kiasi.
Licha ya vikwazo vya kiuchumi tangu 1979 Iran ni nchi ya uchumi wa kati wa juu.
Sasa jiulize ikiondolewa vikwazo itakua Kwa kasi ya aina gani!?
Licha ya hivyo still anao msuli wa kiuchumi ndio maana ameweza kuanziasha Hadi proxy wake na anamwaga zaidi ya $50 billions Kwa hizo proxy.
Kama kuwa mbabe ameshakua mbabe,ndio maana HAITOSHI taifa moja kupambana na Iran.
Hiyo Israel yenyewe inapewa mkono na USA na UK katika takriban mission zake zote dhidi ya Iran.
Kikubwa waarabu ndo watakaomuangusha, myahudi anatumia fursa tu
 
Marekani ruksa muda mrefu sana,waliweka hivyo kuwavutia vijana wengi kujiunga na jeshi.
Yes and no…

  • Army
    The Army's policy prohibits tattoos on the face, head, neck, wrists, and hands, except for one ring tattoo per hand. Leg tattoos must be at least two inches above or below the knee. The Army also allows conservative cosmetic tattoos on women.

    Marines
    The Marines prohibit tattoos on the head, neck, face, and anything above the collarbone. They allow one finger tattoo that is no wider than 3/8ths of an inch.

    Air Force
    The Air Force prohibits tattoos on the head, neck, face, or scalp. They also limit the amount of exposed skin that can be covered in ink while in uniform to 25%.


    Navy
    The Navy has more lenient tattoo policies than other branches, with the only restriction being on neck tattoos. They allow one neck tattoo that is no larger than 1 inch in diameter.


    The military's tattoo policies have changed frequently, and the Government Accountability Office has called for the military to clarify its policies.




    If a soldier has a tattoo that violates the military's standards, they can use laser tattoo removal to get rid of it. While the military doesn't pay for tattoo removal, many laser clinics offer military discounts.
 
Waislamu ni watu wa ajabu kabisa!
Sudan wanauana waislamu kwa Waislamu na wala hawana shida!
Ila Waislamu wakifumuliwa na wasio waislamu ndipo tabu inaanza 🤣 🤣 🤣 🤣
Hata Myanmar wanazibuana wasiokuwa waislam na hakuna shida ila kupigwa kidogo tu na hamas imekua tatizo makafiri bana
 
Ayatollaah tokea Trump ashinde nasikia halali, hapati choo, maana anajua kabisa, The Iron man Trump will wipe off Ayatollaah regime instantly from space..!!
Trump yupi au yule yule wa miaka sita nyuma
 
Back
Top Bottom