Msanii bora wewe umeona ujinga uliowajaa watu. Wanasumbuka na vyeti badala ya ujuzi, uzoefu na uwezo wa mtu. Ndio maana imefikia hatua watu kama akina Musukuma, babu Tale na wengineo wanunua PhD.BBC walikuwaje wakamchukua?
Watanzania mna ushubwada mwingi sana. Mavyeti vyeti ndo yametufikisha hapa kwemye mkwamo. Wenye akili wanaangalia uwezo na siyo mavyeti ambayo hata pets wanaweza kuwa nayo
Wanajitekenya na kucheka wenyewe🤣Msanii bora wewe umeona ujinga uliowajaa watu. Wanasumbuka na vyeti badala ya ujuzi, uzoefu na uwezo wa mtu. Ndio maana imefikia hatua watu kama akina Musukuma, babu Tale na wengineo wanunua PhD.
Hata hivyo Kikeke hajawatangazia kuwa aliacha kazi BBC kuja kutafuta ajira serikalini wala hajalalamika popote!!
Yakamletea stress akawa anatumbua na kutumbuka isivyo kawaida.Hayati JPM ndio alikazania sana mavyeti
Dah! Ila nyie binadamu nyie! Kikeke we komaa kitaa ujiajiri bro! Check na motivational spaeker au soma kitabu Cha Robert Kyosak faster tu unatoboa *****Mods naomba usiunganishe uzi huu na nyuzi nyingine.
Kikeke kutangaza BBC ni sababu ya uwezo na kipaji sio vyeti.
Baada ya vetting CV yake ina ukakasi, huwezi kuzaliwa 1978 ukawa na diploma 1994, age mate wake tunafahamu kuwa enzi zile kuanza darasa la kwanza ni miaka nane au tisa, so utamaliza darasa la saba na miaka 14, jumlisha miaka 4 ya sekondari jumla 18, jumlisha miaka 2 ya Diploma jumla 20 sasa yeye anadai akimaliza diploma namiaka 16 ina maana alianza darasa la kwanza na miaka 4!
Kumbuka hiyo ni diploma ya umwagiliaji toka Chuo cha kilimo Nyegezi.
Alikuja kujiendeleza kwa certificate ya uandishi wa habari miezi mitatu, hakuna vyeti zaidi vya uandishi wa habari alivyonavyo
Uchunguzi umebaini ana miaka 50+
Tunatambua kipaji chake ila kwa ukakasi wa CV yake unatia shaka.
SindoapoKwa nini watu wakipata fursa hawajisomeshi?
Kina lukuvi hao wamekuwa mawaziri wakubwa miaka na miaka lakini ni darasa la sabaWatu wenye mioyo ya kimasikini utawajua Tu Kwa mawazo Yao.... CV ya kikeke itakusaidia nini ? Serikali kuna Hadi darasa la Saba wapo wanafanya kazi sembuse kikeke!!!
Kina lukuvi hao wamekuwa mawaziri wakubwa miaka na miaka lakini ni darasa la sabaWatu wenye mioyo ya kimasikini utawajua Tu Kwa mawazo Yao.... CV ya kikeke itakusaidia nini ? Serikali kuna Hadi darasa la Saba wapo wanafanya kazi sembuse kikeke!!!
Unafahamu kitwa kinaitwa acceleration?Mods naomba usiunganishe uzi huu na nyuzi nyingine.
Kikeke kutangaza BBC ni sababu ya uwezo na kipaji sio vyeti.
Baada ya vetting CV yake ina ukakasi, huwezi kuzaliwa 1978 ukawa na diploma 1994, age mate wake tunafahamu kuwa enzi zile kuanza darasa la kwanza ni miaka nane au tisa, so utamaliza darasa la saba na miaka 14, jumlisha miaka 4 ya sekondari jumla 18, jumlisha miaka 2 ya Diploma jumla 20 sasa yeye anadai akimaliza diploma namiaka 16 ina maana alianza darasa la kwanza na miaka 4!
Kumbuka hiyo ni diploma ya umwagiliaji toka Chuo cha kilimo Nyegezi.
Alikuja kujiendeleza kwa certificate ya uandishi wa habari miezi mitatu, hakuna vyeti zaidi vya uandishi wa habari alivyonavyo
Uchunguzi umebaini ana miaka 50+
Tunatambua kipaji chake ila kwa ukakasi wa CV yake unatia shaka.
Wa miaka 5 ninae yuko class 1 na ana fanya poa sana.Acha kukariri dogo.
Vijijini ndio mlikuwa mnaanza shule na miaka 60 hiyo, mijini kuanza la kwanza na miaka 4 au 5 kawaida sana
Nasikia ni balozi wa nyumba kumi huko mitaa ya BuzaSamahani lakini kwani huyu salim kikeke ni nani?
Mkuu,BBC walikuwaje wakamchukua?
Watanzania mna ushubwada mwingi sana. Mavyeti vyeti ndo yametufikisha hapa kwemye mkwamo. Wenye akili wanaangalia uwezo na siyo mavyeti ambayo hata pets wanaweza kuwa nayo
Makonda alikuwa na CV gani Mkuu?This is Fact
Tamko rasmi la serikali pori
Tunampenda Kikeke lakini CV inamkataa
Kiufupi hatupendaniMkuu,
Kila siku huwa nasema kwamba,
Waafrika hasa watanzania wana laana.
Wanachoweza ni umbea, Majungu,chuki na visirani.
Sent from my Infinix X657B using JamiiForums mobile app