born again pagan
JF-Expert Member
- Apr 28, 2014
- 2,336
- 1,491
Halafu mkuu ujue wewe unauwezo mkubwa wa kujilinda, waweza kufuatwa na wasiojulikana wasiokuone wakutane na kisiki tu au nguzo ya umeme,OK sawa asante
Kwa hiyo sio kweli kuwa Mange anaratibu machafuko (mapinduzi) hapa nchini?
Msigwa yupo mstari wa mbele kuunga mkono haya machafuko (nimeona postings zake).
Zitto, katika posting zake ameushauri upinzani kuwa kitu kikubwa kifanyike kabla ya 2020. Nadhani alijua ukifika uchaguzi wa 2020 vyama vya upinzani vitafutika.
Ni kitu gani kikubwa anachotaka kifanyike?
Safari ya Zitto hivi karibuni huko Ubeligiji na Oman, pamoja na watu aliokutana nao zaidi ya Lissu, inanifanya nijiulize maswali mengi.
Jamani msifanye mzaha. Upinzani wanajua kuwa kwa kasi hii ya Magufuli hawataambulia kitu kupitia sanduku la kura ifikapo 2019/2020.
Mkakati uliopo kwao ni kuivuruga hii nchi kusudi mataifa ya nje yaingilie kati. Kila dalili inaonyesha hivyo.
JAMBO JINGINE
Ni dhahiri kuwa wanaopata habari zao kupitia social media (JF, INSTA, TWITTER, FB, nk) ni wachache sana - wenye smart phones na computers. Kwa hiyo ili kuwapatia habari watu wa vitochi, hasa vijijini, Mange anaratibu usambazaji vikaratasi (vipeperushi) nchi nzima kwa ndege ili watu wasome kuhusu vurugu za April 26, 2018.
Ni nani anaemfadhili Mange kufanya hivi?
Watu wakinyamaza msifikiri ni wapumbavu.
nchi yetu tajiri hatuitaji mssada uoni SGR tumejenga kwa fedha zetuYeyote anayeombea nchi inyimwe misaada!
Ni muhimu mpaka lini? Je, tumejipangaje kuhakikisha tunasimama kwa kujitegemea?Mkuu acha ujinga hakuna anayependa hicho ila bado hatujafikia huko
Misaada INA umuhimu sana kwa afrika kwa kuwa bado hatujajiweza
Hushinda na akina Le mutuz, sio siri wengi wanajua katumwa na hao hao.Wakat mwingne hatumwi na mtu ila ni njaa zake tu. Njaa mbaya sana.
Huoni kama wewe ndo unachochea mauaji????Serikali msisubiri kinuke, ndio mtumie nguvu kubwa
Fanyeni kama anavyofanya Nkurunziza kila anaye amasisha ama vurugu au anayepandikiza chuki baina ya mtanzania na mtanzania mwingine dawa ni paah , kimya kimya ndivyo anavyofanya Nkurunzinza kule Burundi na hivi sasa Burundi ipo salama fagia wajinga wote ili nchi ibaki salama.
[emoji15] [emoji15] [emoji5] [emoji5] [emoji144] [emoji144] [emoji144] [emoji144] [emoji144] [emoji124] [emoji124] [emoji124] [emoji124]Halafu mkuu ujue wewe unauwezo mkubwa wa kujilinda, waweza kufuatwa na wasiojulikana wasiokuone wakutane na kisiki tu au nguzo ya umeme,
Wengine hatuna
Tadhali sana
[emoji106][emoji15] [emoji15] [emoji5] [emoji5] [emoji144] [emoji144] [emoji144] [emoji144] [emoji144] [emoji124] [emoji124] [emoji124] [emoji124]
Hukupaswa kumpa airtime yakoHuoni kama wewe ndo unachochea mauaji????
Yakianza kutokea hayo, hakuna atakayekua salama. Hata wewe unayedhani uko salama, hutaiona salama yako
Pogba ni mchezaji mwenye Tabia njema si Dikteta, si vizuri kumfananisha na unyama wa idd Amin Bashite Maliyamungu na magufuli bokasa na akina mwigulu chiluba.Pogba, Bashite na Mwigulu
Huyu alishanyamzishwa siku nyingi baada ya kugundulika hata hilo jina Musiba si la kwake, huyu alufukuzwa shule huko mbeya yeye na Bashite hawana tofauti walisomea majina ya watu. aliufyata baada ya watu kumtolea data zake hume JF
Ndio maana ukaja na zile propaganda za maiti zinatolewa hospitali? Jinga wewe!! Mmesikia US na Nchi wahisani wanakuja na kibano Mambo yanagonga pichu!! Mtatafutana si mlikuwa wapiga makofi na vigelegele!! Uzi wako wameutoa kule urudishe.Yeyote anayeombea nchi inyimwe misaada!