Cyprian Majura Musiba ni nani na anatumwa na nani?

Cyprian Majura Musiba ni nani na anatumwa na nani?

hili ndo tatizo la Bavicha,ni mentally blind.

Hawafikirii beyond the scope,
Ngoja niwakumbushe jambo
Mwishoni mwa mwaka Jana Kuna jamaa/mzee mmoja wa chadema wa kule moshi alikuja na video clip zake kwenye mitandao ya kijamii akimpinga kwa kumtukana na kumkashika Rais wa JMT Mh Magufuli.

Alitukana na kukashifu Sana, lkn hukusikia mtu yeyote akisema jeshi la polisi limchukulie hatua yule jamaa. Humu JF sasa, jamaa alionekana ni shujaa hasa na alipewa sifa zote. Leo Musiba kutoa maoni yake tu imekuwa ni shida.

Sasa si mnataka kujua Musiba katumwa na nani, Basi tuambieni kwanza yule jamaa alitumwa na nani.
 
Wakat mwingne hatumwi na mtu ila ni njaa zake tu. Njaa mbaya sana.
 
Kwa hiyo sio kweli kuwa Mange anaratibu machafuko (mapinduzi) hapa nchini?

Msigwa yupo mstari wa mbele kuunga mkono haya machafuko (nimeona postings zake).

Zitto, katika posting zake ameushauri upinzani kuwa kitu kikubwa kifanyike kabla ya 2020. Nadhani alijua ukifika uchaguzi wa 2020 vyama vya upinzani vitafutika.

Ni kitu gani kikubwa anachotaka kifanyike?

Safari ya Zitto hivi karibuni huko Ubeligiji na Oman, pamoja na watu aliokutana nao zaidi ya Lissu, inanifanya nijiulize maswali mengi.

Jamani msifanye mzaha. Upinzani wanajua kuwa kwa kasi hii ya Magufuli hawataambulia kitu kupitia sanduku la kura ifikapo 2019/2020.

Mkakati uliopo kwao ni kuivuruga hii nchi kusudi mataifa ya nje yaingilie kati. Kila dalili inaonyesha hivyo.

JAMBO JINGINE
Ni dhahiri kuwa wanaopata habari zao kupitia social media (JF, INSTA, TWITTER, FB, nk) ni wachache sana - wenye smart phones na computers. Kwa hiyo ili kuwapatia habari watu wa vitochi, hasa vijijini, Mange anaratibu usambazaji vikaratasi (vipeperushi) nchi nzima kwa ndege ili watu wasome kuhusu vurugu za April 26, 2018.

Ni nani anaemfadhili Mange kufanya hivi?

Watu wakinyamaza msifikiri ni wapumbavu.

Asante ndugu kwa uelewa uliotukukuka, wengine ni wafuata vibendera tu.
 
Serikali msisubiri kinuke, ndio mtumie nguvu kubwa
Fanyeni kama anavyofanya Nkurunziza kila anaye amasisha ama vurugu au anayepandikiza chuki baina ya mtanzania na mtanzania mwingine dawa ni paah , kimya kimya ndivyo anavyofanya Nkurunzinza kule Burundi na hivi sasa Burundi ipo salama fagia wajinga wote ili nchi ibaki salama.
 
Serikali msisubiri kinuke, ndio mtumie nguvu kubwa
Fanyeni kama anavyofanya Nkurunziza kila anaye amasisha ama vurugu au anayepandikiza chuki baina ya mtanzania na mtanzania mwingine dawa ni paah , kimya kimya ndivyo anavyofanya Nkurunzinza kule Burundi na hivi sasa Burundi ipo salama fagia wajinga wote ili nchi ibaki salama.
Huoni kama wewe ndo unachochea mauaji????

Yakianza kutokea hayo, hakuna atakayekua salama. Hata wewe unayedhani uko salama, hutaiona salama yako
 
Halafu mkuu ujue wewe unauwezo mkubwa wa kujilinda, waweza kufuatwa na wasiojulikana wasiokuone wakutane na kisiki tu au nguzo ya umeme,

Wengine hatuna
Tadhali sana
[emoji15] [emoji15] [emoji5] [emoji5] [emoji144] [emoji144] [emoji144] [emoji144] [emoji144] [emoji124] [emoji124] [emoji124] [emoji124]
 
ebu tupia link ya uzi ulio msema au paste hizo info hapa tena tuzisome
Huyu alishanyamzishwa siku nyingi baada ya kugundulika hata hilo jina Musiba si la kwake, huyu alufukuzwa shule huko mbeya yeye na Bashite hawana tofauti walisomea majina ya watu. aliufyata baada ya watu kumtolea data zake hume JF
 
Yeyote anayeombea nchi inyimwe misaada!
Ndio maana ukaja na zile propaganda za maiti zinatolewa hospitali? Jinga wewe!! Mmesikia US na Nchi wahisani wanakuja na kibano Mambo yanagonga pichu!! Mtatafutana si mlikuwa wapiga makofi na vigelegele!! Uzi wako wameutoa kule urudishe.
 
Dah dah dah huyu jamaa ndio mkata watu mapanga dah yani haya ndizo fikra za ccm dah tunakwenda pabaya!
 
Back
Top Bottom