Cyprian Majura Musiba ni nani na anatumwa na nani?

Cyprian Majura Musiba ni nani na anatumwa na nani?

WATU 10 AKIWEMO MANGE KIMAMBI WANAOTAJWA KUWA HATARI KWA USALAMA WA TAIFA
MTILAH BLOG / 42 minutes ago



MANGE KIMAMBI
Mkurugenzi wa Kampuni ya CZI, Cyprian Musiba leo Februari 25, 2018 amezungumza na waandishi wa habarina na kuwataja watu 10 hatari kwa usalama wa Taifa.

Musiba amesema serikali inatakiwa kuwa makini na watu wao kwani wanaweza kusababisha machafuko nchini .Musiba amewataja watu hao ni.

1.Mange Kimambi-Musiba amesema mange kimambi anatumiwa na FBI(Shirika la kijesusi la marekani)

2.Freeman Mbowe-Musiba amesema CHADEMA imepeleka vijan 500 ujerumani kwa ajiri ya kuratibu ajenda za kiarifu katika Taifa

3.Mari Sarungi-Musiba amesema maria sarungi kazi yake ni kuongea negative juu ya serikali

4.Zitto kabwe-Musiba amesema Zitto anahamasisha vyama vya siasa viungane viandamane tyarehe 26/04/2018 ili walete vurugu.

5.Lissu

6.John Heche
7.John Marwa (Alikuwa mlinzi wa Salum mwalim wakati wa kampeni Kinondoni)
8.Evarist Chahari-Mtanzania anaishiu Uingereza


9.Julius Mtatiro
10.Janja wind-Kikundi cha wafuasi wa CUF

https://play.google.com/store/apps/details?id=mtilah.blogspot.com
>>>BOFYA HAPA ILI KUWA WA KWANZA KUPATA HABARI ZETU

Cyprian Musiba ameiomba serikali na vyombo vya ulinzi kuwafuatilia watu hao

Zaidi msikilize kwenye video hii hapa chini


Visit website
Watanzania wa Leo siyo wa mwaka 47 Time Will tell
 
MUSIBA ANA KESI YA KUJIBU JUU YA TUHUMA HIZO DHIDI YA FBI.NADHANI AKILALA NDIO ATAONA UZITO WA UPUMBAVU ALIOUFANYA KWA KUTAFUTA CHEO.
 
Hivi mtu anapata wapi ujasiri wa kuituhumu FBI kuwa ni majasusi????
 
Nimelazimika kuangalia hii video.

Kwanza nimecheka sana. Siwezi kumbishia Bwana Msiba maana anaweza kua na sababu zake hata kama ni za kipumbavu ila bado anaziamini kua ni sababu.

Nilichogundua elimu ndogo na uelewa mdogo bado ni changamoto katika jamii yetu, kama huyu alikua mtangazaji na mwandishi wa ha ari basi hii nchi ina matatizo makubwa.

Kwanza Musiba anaonekana hajui au hana ufaham kabisa tofauti kati ya FBI na CIA. Anaituhumu FBI lakini kimantini ni CIA kama kweli anachokisema kiko hivyo, FBI haifanyi kazi za ujasusi na haivuki mipaka ya Marekani, hawa ni polisi wa Marekani na sio taasisi ya kijajusi nje ya Marekani.

Pili, Musiba hata maneno ya kawaida tu yanamshida kuyasarufisha, Uasi yeye anasema ni Uhasi.

Little learning is very hazardous. Stupidity is still common among Tanzanias.
Wewe ulitegemea mtu mwenye akili yake na elimu yake aje kuongea madudu haya
 
Mtasumbuka sana
Europe North America sio wapumbavu kama viongozi wetu tambua hilo
Sanasana mnawapigia Promo
Ngoja Ubalozi wa Marekani umlime barua kesho athibitishe kauli zake ndipo mtajua hawa watu si wapumbavu
FBI sio kama TISS muache kufananisha na huu uchafu.

NADHANI ATAITWA ATHIBITISHE TUHUMA HIZO DHIDI YA MAREKANI NA UJERUMANI.
 
Kila mkosoaji wa Chadema lazima muulizie wasifu wake..
mtaulizia wananchi wa nchi nzima sasa mkidhani wanatumiwa na CCM
Hata jeahi la polisi wakati wa uchunguzi lazima likujue kwanza wewe ni nni, kuna ughusiano mkubwa kati ya wasifu wako na mienendo yako. Kwa Musiba i.eshafahamika ni wale wale wa Elimu za kuunga unga na kuficha maovu yao( vyeti feki). Na ni watu wa kujipendekeza. Ucgunguzi wetu kuhusu wasifu wake umetupa majibu kwa nini anawaza hivyo anavyofanya.
Hat hivyo kwa ni i musiba hachukuliwa hatua kwa tabia zake za kichochezi kati ya serikali na wananchi wema? Kwa nini anasababisha taharuki miongoni mwa watanzania kwa kusema.baadhi ya rais wake ni hatari kwa usalama wa taifa? Huyu anastahili kupelekwa mahakamani akathibitishe madai yake.

Ni ukweli usiopingima watu wenye elimu za kuunga unga ni bira darasa la saba aliyeridhika na kiwango chake cha elimu akaamua kutumia kipawa kinngine cha kuzaliwa kuendesha maisha yake.

List hii hapa.

Rais
Mkuu wa mkoa
Msiba
Makamba et al.
 
Unapata wapi nguvu ya kuutangazia umma wa Watanzania kwamba hawa ndugu zetu ni hatari??? Mamlaka unayatoa wapi Musiba.....??? Maana ya mtu hatari katika usalama wa taifa ni wewe wa kutoa hiyo hukumu na maamuzi ya kuwaita wenzetu Hatari???

Naombeni msaada ni nani huyu?? Anapata wapi mamlaka na nani amemtuma????


Huu ujinga yafaa chadema waukatae mapema kwani ni mbinu ya CCM kuwatumia wahuni wa mitaani wajinga wajinga kuwachokonoa chadema kisha CCM wapate kisingizio cha kuwabambikia kesi Wapinzani, hii mbinu ni ya kishamba na yaafaa watambue kuwa watanzania wa sasa si wajinga kiasi hicho na hawezi kukaa wakayaamini maneno ya Msiba msaka nyoka, kila mmoja anajua kuwa Makonda na Rais hawataki kisikia upinzani Tanzania, wanakuja na mbinu nyingi za kudhoofisha upinzani ni vyema wananchi wajiandae kisakolojia kuwakabili kwa nguvu nyingi.
 
Back
Top Bottom