fagix
JF-Expert Member
- Jun 3, 2015
- 739
- 554
unajua maana FBI na kuna tofauti gani kati ya FBI na CIAMkuu hapo #1 tangu lini FBI wakawa shirika la kijasusi? Hii inakupa quality ya uzi mzima kuwa bwana Musiba ni Jogoo toka mashambani kuwika mjini ni kwa nadra sana.