Kididimo
JF-Expert Member
- Sep 20, 2016
- 4,153
- 3,800
Na alisota mida mrefu,ila alipopata madaraka tu,akasahau yote.6.yeyote anaeona kuwa yeye ana haki kuzidi wengine ili hali ni Mtanzania kama wengine
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Na alisota mida mrefu,ila alipopata madaraka tu,akasahau yote.6.yeyote anaeona kuwa yeye ana haki kuzidi wengine ili hali ni Mtanzania kama wengine
alisema anayekupa buku tatu kuwa hatuhitaji misaadaMlilia sana hapa jukwaani nchi ipokatiwa mgao wa wamarekani leo mnajitoa ufahamu kua nchi haihitaji msaada!
Mkuu Dereva atakuwa naniinafaa kwakweli![]()
Tubu kwanza, lasivyo tutakua tunapoteza muda tu bure-Mniombee...
Ni mmojawapo kati ya wale wasiotumia akili kufikiriaSiku nikiupata tu wasifu wako.wewe jinga jinga jinga lao.naacha kutumia jf.wewe una akili ndogo sana sana sana mkuu.ndogo kwa maana ya ndogo na ni adui mkubwa wa taifa hili.ulaaniwe wewe na wanaokutuma.shetani
Unapata wapi nguvu ya kuutangazia umma wa Watanzania kwamba hawa ndugu zetu ni hatari??? Mamlaka unayatoa wapi Musiba???
Maana ya mtu hatari katika usalama wa taifa ni wewe wa kutoa hiyo hukumu na maamuzi ya kuwaita wenzetu Hatari???
Naombeni msaada ni nani huyu? Anapata wapi mamlaka na nani amemtuma?
Samahani JF niliiacha hii habari hewani bila kuiimarisha kwasababu huyu jamaa alinichefua sana, nasema ukweli nilifika hatua ya kufikiria kuukana utaifa wangu wa Tanzania. Polisi wanamuacha huyu? Vyombo vya habari mnaripoti mtu kama huyu really na mnaona ni taarifa ya kawaida tu....???
Matokeo Mh marehrmu baba wa Taifa aliyasema hayo.Kukiwepo na Mzazibara na Mzazibari hamtaishi salama.Sasa kuna Msuku na Mnya kwa mwezi,Allh Amalie tusifike huko mana kuchinjana hatukuzoea kwa hiyo tutakufa kama kuku wenye mdondoYeyote anayeongoza nchi kikanda na kikabila
Aliyemtuma akumfunda vizuri uongo
Swissme
Mng'oa kucha katishaaaaaMtu hatari kwa sasa ni mng'oa kucha tu,
Hii inafaa kuwa namba 5
Unapata wapi nguvu ya kuutangazia umma wa Watanzania kwamba hawa ndugu zetu ni hatari??? Mamlaka unayatoa wapi Musiba???
Maana ya mtu hatari katika usalama wa taifa ni wewe wa kutoa hiyo hukumu na maamuzi ya kuwaita wenzetu Hatari???
Naombeni msaada ni nani huyu? Anapata wapi mamlaka na nani amemtuma?
Samahani JF niliiacha hii habari hewani bila kuiimarisha kwasababu huyu jamaa alinichefua sana, nasema ukweli nilifika hatua ya kufikiria kuukana utaifa wangu wa Tanzania. Polisi wanamuacha huyu? Vyombo vya habari mnaripoti mtu kama huyu really na mnaona ni taarifa ya kawaida tu....???
Yaani nimemsikiliza mpaka mpaka anatia hasira ...........!!Wewe ulitegemea mtu mwenye akili yake na elimu yake aje kuongea madudu haya
Yeyote Anajenga Reli Na Kununua Ndege Wakati Watu Hatuna Maji, Umeme Na MadawaYeyote anayeombea nchi inyimwe misaada!
Ww nae ndio walewale,hivi kabla hamjaitisha hizo comference huwa mnafikiria kwanza?...,au mkishamezeshwa maneno mnakimbilia kuita waandishi wa habari kabla hamjachambua mlichoambiwa!?,so sad kwa kweliMkuu... Kwani waasi walitoa wapi silaha nzito nzito za kupambana na Gadaffi.... Ushaambiwa kuna wafadhili! Inawezekana pia Fbi na cia, maana wao ni kwa maslahi ya usa.
Kwanini tusijadili hoja... Vipi kama ni kweli hawa watu wanatumika? Au ndio watu 500wamejaaa humu JF kupinga kwa nguvu zote