Cyprian Majura Musiba ni nani na anatumwa na nani?

Cyprian Majura Musiba ni nani na anatumwa na nani?

064d974ef21cd5c4b15517968b42fe37.jpg
inafaa kwakweli
Mkuu Dereva atakuwa nani
 
YEYOTE ALIYETOA AMRI, PAMOJA NA YULE ALIYENYOOSHA GOBOLE NA KUMWAHA DAMU YA AQUILINA, HAWA NI SUMU KULIKO ILIVYO SUMU YA CHATU
 
Ukichunguza Cv ya huyu Musiba utajua kwann ananyegeka hivyo hadharani. Kauli mbiu ya Elimu, elimu ,elimu ilikuwa na maana sana
 
Siku nikiupata tu wasifu wako.wewe jinga jinga jinga lao.naacha kutumia jf.wewe una akili ndogo sana sana sana mkuu.ndogo kwa maana ya ndogo na ni adui mkubwa wa taifa hili.ulaaniwe wewe na wanaokutuma.shetani
Ni mmojawapo kati ya wale wasiotumia akili kufikiria
 
Unapata wapi nguvu ya kuutangazia umma wa Watanzania kwamba hawa ndugu zetu ni hatari??? Mamlaka unayatoa wapi Musiba???

Maana ya mtu hatari katika usalama wa taifa ni wewe wa kutoa hiyo hukumu na maamuzi ya kuwaita wenzetu Hatari???

Naombeni msaada ni nani huyu? Anapata wapi mamlaka na nani amemtuma?


Samahani JF niliiacha hii habari hewani bila kuiimarisha kwasababu huyu jamaa alinichefua sana, nasema ukweli nilifika hatua ya kufikiria kuukana utaifa wangu wa Tanzania. Polisi wanamuacha huyu? Vyombo vya habari mnaripoti mtu kama huyu really na mnaona ni taarifa ya kawaida tu....???

Mara nyingi kuna watu huwa wanatumwa kama wale vijibwa vidogo vinavyobweka ili kuwastua majibwa makubwa! Ndiyo ilivyo Kwa huyo jamaa yeye katumwa kubweka ili kuangalia upepo!
 
Yeyote anayeongoza nchi kikanda na kikabila
Matokeo Mh marehrmu baba wa Taifa aliyasema hayo.Kukiwepo na Mzazibara na Mzazibari hamtaishi salama.Sasa kuna Msuku na Mnya kwa mwezi,Allh Amalie tusifike huko mana kuchinjana hatukuzoea kwa hiyo tutakufa kama kuku wenye mdondo
 
Watu walishajua deal ni kujipendekeza tu hata kama humuelewi huyu bw mkubwa, Musiba anachofanya hapo ni kujikomba tu ili wanae waende chooni na asidaiwe kodi. Lakini tatizo hakugoogle kabla hajaja kuongea na press ndio Instead of CIA anataja FBI
 
Unapata wapi nguvu ya kuutangazia umma wa Watanzania kwamba hawa ndugu zetu ni hatari??? Mamlaka unayatoa wapi Musiba???

Maana ya mtu hatari katika usalama wa taifa ni wewe wa kutoa hiyo hukumu na maamuzi ya kuwaita wenzetu Hatari???

Naombeni msaada ni nani huyu? Anapata wapi mamlaka na nani amemtuma?


Samahani JF niliiacha hii habari hewani bila kuiimarisha kwasababu huyu jamaa alinichefua sana, nasema ukweli nilifika hatua ya kufikiria kuukana utaifa wangu wa Tanzania. Polisi wanamuacha huyu? Vyombo vya habari mnaripoti mtu kama huyu really na mnaona ni taarifa ya kawaida tu....???

Jamaa ni huyu ni mpuuzi kwili ............ eti anajifanya kujua zaidi kuliko Usalama wa Taifa .......... labda UWT wako likizo!!

Actually, yeye ndiye adui No. 1
 
Wewe ulitegemea mtu mwenye akili yake na elimu yake aje kuongea madudu haya
Yaani nimemsikiliza mpaka mpaka anatia hasira ...........!!

Yaani wapumbavu nao wanapewa Press kutapika ujinga .... Nchi ya ajabu sana hii. Angekuwa ni Ukawa, sasa hivi angekuwa yuko Lupango anasubiria kufikishwa Kisutu!!
 
Mkuu... Kwani waasi walitoa wapi silaha nzito nzito za kupambana na Gadaffi.... Ushaambiwa kuna wafadhili! Inawezekana pia Fbi na cia, maana wao ni kwa maslahi ya usa.
Ww nae ndio walewale,hivi kabla hamjaitisha hizo comference huwa mnafikiria kwanza?...,au mkishamezeshwa maneno mnakimbilia kuita waandishi wa habari kabla hamjachambua mlichoambiwa!?,so sad kwa kweli
Kwanini tusijadili hoja... Vipi kama ni kweli hawa watu wanatumika? Au ndio watu 500wamejaaa humu JF kupinga kwa nguvu zote
 
Back
Top Bottom