Pac the Don
JF-Expert Member
- Feb 17, 2021
- 6,170
- 7,710
Mamb ya kisheria na amri ya Mahakama ni magum sio ya kufanyia mzaha.Nakumbuka mtikila alitaka kukwepa kumlipa jamaa flani baada ya mahakama kutoa hukumu. Mahakama ikatoa hukumu tena kama hatamlipa jamaa chini ya masaa 24 akamatwe na afungwe miaka 3 na kulipa. Mtikila alilipa faster siku iyoiyo.
DuhHaya sasa wazee wa kazi wapo wanapiga jaramba, if this happen Musiba 'll be finished!!!View attachment 2589884
Membe hana njaa hiyo, amfunge tu huyu jamaa ili amtie adabu.Kumfunga mdaiwa Cyprian Majura Musiba kama mfungwa wa kimadai pia inawezekana
Igizo eeeeh, mtakuja tena humu kulialia mara oooh free musiba mara uonevu.Nyumbu wataamimi hili igizo kama la Sabaya
KIsheria hukumu ni sawa lakini si haki. Hivi mtu anawezaje kudai ana thamani ya mabilioni wakati hizo hela yeye mwenyewe hana?Musiba asipotuaga kwa pressure ataishia kuwa chizi, siku hizi nikiitazama ile sura yake namuona hayuko na amani, moyo wake mzito.
Angefanya atleast public apology angeweza kusamehewa na wale aliowakosea, ili apate amani, kwani nao ni binadamu pia, kuliko kukaa kwake kimya huku akiteketea ndani kwa ndani.
Wahutu waone hivi hivi wana roho mbaya sanaNimewaomba tufanye fundraising wapo kimya!!
Analindwaje? Acha kudanganyana na wenzio yapelekwe mashtaka mahakamani na ushahidi uwepo siyo maneno maneno tu. Sisi tuliamininishwa Makonda ni mbaya sana. Tunashangaa anadunda tu mtaani.Hajafunguliwa mashitaka sio kwamba ni innocent ila bado analindwa na hii serikali haramu ambayo haina ridhaa ya wananchi.
Siku zinakuja huyo mjinga lazima atanyea tu debe kwani amefanya uovu mwingi sana ikiwa ni pamoja na kuunda genge la wasiojulikana ili kuua vichomi wa dikteta Magufuli. Bure kabisa.
Angekuwa na sambwanda kama la Bashite kidooogo angenunulika,huyu labda watu kwa kumkomoa tu wanaweza kumpasuaAnaweza pigwa mnada!!
So adhabu alishapata? 🤣🤣🤣🤣 Kwa style hii kweli ccm itatawala milele na watu hawatakuwa na woga.Nani kamuongelea Makonda. Mbowe kaanza kuhangaika leo? Kila kitu lazima mumuingize Mbowe sijui kwa Nini. Makonda tangu apigwe Chini ubunge Hakuna mtu mwenye time naye maana watu waliridhika kakosa vyote.
Vipi hili somo haliwahusu waliokuwa wanamtukana na kumkashfu Magufuli mitandaoni?Hilo ni somo kubwa sana, hakuna marefu yasiyokuwa na ncha.
Vipi chawa waliokuwa wanamtukana Magufuli kama Mange kimambi, Tobias Marandu, kigogoHuyu wasimuachie lazima wanfunge jela liwe fundisho kwa chawa wengine!
Tupe ushahidi waliokamatwa na kuuawaMbona wengi walikamatwa na wengine kuuawa.
Kimsingi sijui mahakama ili calculate vipi gharama za mdai mpaka kuja na kiasi hicho walichotaka Musiba alipe..KIsheria hukumu ni sawa lakini si haki. Hivi mtu anawezaje kudai ana thamani ya mabilioni wakati hizo hela yeye mwenyewe hana?
Sheria inapaswa kubadiilishwa ili kuondoa,mianya ya kukomoana kwq mgongo wa sheria . Sheria itamke tu kama mtu akitiwa hatiani alazimike kukanusha yale aliyoyasema na pia kulipa gharama za kesi tu.
KIsheria hukumu ni sawa lakini si haki. Hivi mtu anawezaje kudai ana thamani ya mabilioni wakati hizo hela yeye mwenyewe hana?
Sheria inapaswa kubadiilishwa ili kuondoa,mianya ya kukomoana kwq mgongo wa sheria . Sheria itamke tu kama mtu akitiwa hatiani alazimike kukanusha yale aliyoyasema na pia kulipa gharama za kesi tu.
Wewe jamaa huna huruma, ya Sabaya yalikuwa maigizo yale ?Nyumbu wataamimi hili igizo kama la Sabaya
Aliyataka mwenyewe. Acha avune alichopanda.Bado Shamgazi naye hajaomba kukazia hukumu ya kesi yake. Musiba lazima anywe sumu mwaka.huu
Na wa kutegemewa ni MUNGU tu aoshiye milele, na sio mortal being kama wewe na mimi!Hili ni somo kwangu Mimi na wewe,hapa duniani tuishi Kwa kutenda mema tu