BrownRange
JF-Expert Member
- Dec 25, 2020
- 927
- 1,191
Nasikia harusi yake ilisimamiwa na Kikwete kwa kila kitu, halafu baadae anakuja kumtukana, dahMusiba asipotuaga kwa pressure ataishia kuwa chizi, siku hizi nikiitazama ile sura yake namuona hayuko na amani, moyo wake mzito.
Angefanya atleast public apology angeweza kusamehewa na wale aliowakosea, ili apate amani, kwani nao ni binadamu pia, kuliko kukaa kwake kimya huku akiteketea ndani kwa ndani.
Wewe ndiye unapaswa kujua.
Nchi ingekuwa haina double standards na inatii utawala wa sheria hao wote walitakiwa kupelekwa mbele ya pilato!Vipi chawa waliokuwa wanamtukana Magufuli kama Mange kimambi, Tobias Marandu, kigogo
Nimeshakwambia sababu inayofanya aendelee kudunda ila unajifanya huelewi.Analindwaje? Acha kudanganyana na wenzio yapelekwe mashtaka mahakamani na ushahidi uwepo siyo maneno maneno tu. Sisi tuliamininishwa Makonda ni mbaya sana. Tunashangaa anadunda tu mtaani.
Atawapiga tekniki za Hakimi hawataaminiMh siku 14 hizo hizo wengi wetu ukituambia tubuni biashara from scratch ya kutupa laki 3 ndani ya hizo siku ni umetugea mtihani wa milele ila Musiba ndiyo azalishe 9B?
Yaan kama vile sio mwenzao!!Mwanaharakati huru Cyprian Majura Musiba yupo katika hali ngumu kwa miaka 12 ijayo kama wazalendo uchwara watashindwa kuanzisha harambee kulipia michango ya fidia ya mabilioni ya shilingi , maana followers / mashabiki wake wote wa majukwaa ya mitandaoni wa 'mute'
Anasubiri muujiza wa genge alilokuwa anatumikia huenda likampindulia mezaMusiba asipotuaga kwa pressure ataishia kuwa chizi, siku hizi nikiitazama ile sura yake namuona hayuko na amani, moyo wake mzito.
Angefanya atleast public apology angeweza kusamehewa na wale aliowakosea, ili apate amani, kwani nao ni binadamu pia, kuliko kukaa kwake kimya huku akiteketea ndani kwa ndani.
Vipi hili somo haliwahusu waliokuwa wanamtukana na kumkashfu Magufuli mitandaoni?
Pumbuuuu zake pamoja na figo mbiliMusiba anamiliki nini?
Halafu Sukuma Gang kama hawapo vile kumsaidia mwehu mwenzao.
hua unamuona wapi?Musiba asipotuaga kwa pressure ataishia kuwa chizi, siku hizi nikiitazama ile sura yake namuona hayuko na amani, moyo wake mzito.
Angefanya atleast public apology angeweza kusamehewa na wale aliowakosea, ili apate amani, kwani nao ni binadamu pia, kuliko kukaa kwake kimya huku akiteketea ndani kwa ndani.
Hata hyo picha yake hapo juu huoni anavyorembua ? May be tayar wahuni wameshapita naye kwa heshima na taadhimaNitashangaa kama hadi sasa musiba hana marinda. Navyowafaham vijana wa mjini licha ya kukufilisi lazima rinda litatuliwe.
Yeye alikua anafanya kusudi kabsaa sasa acha wamnyoosheKIsheria hukumu ni sawa lakini si haki. Hivi mtu anawezaje kudai ana thamani ya mabilioni wakati hizo hela yeye mwenyewe hana?
Sheria inapaswa kubadiilishwa ili kuondoa,mianya ya kukomoana kwq mgongo wa sheria . Sheria itamke tu kama mtu akitiwa hatiani alazimike kukanusha yale aliyoyasema na pia kulipa gharama za kesi tu.
Kama alikuwa anachapa maelf ya nakala za magazeti halafu hazinunuliwi kesho yake anamlipa mwenye kiwanda na anachapa mengine? Halaf mnasema hana hela! Mahakama imeangalia yote hayo na kujirithisha bila chembe ya shaka kuwa musiba majura ana fedha chafu ni wajibu wake kulipa fidia hyo. Pia ni miongoni mwa wazawa wa kagera ambao kimsingi ni wajivuni sana! Binafsi siwez kumtofautisha mhaya maskin na tajiri! Pia jaji alijiridhisha kuwa hakuna mhaya ambaye hana ndugu marekaniKimsingi sijui mahakama ili calculate vipi gharama za mdai mpaka kuja na kiasi hicho walichotaka Musiba alipe..
Membe hana njaa hiyo, amfunge tu huyu jamaa ili amtie adabu.
Imeandikwa ya Kuwa"Amelaaniwa anamtegemea mwanadamu Kuwa kinga yake"Halafu Sukuma Gang kama hawapo vile kumsaidia mwehu mwenzao.