Mbali na yote, hukumu hii imekaa kukomoa na ya kisiasa zaidi kuliko ile ya kutoa haki!
Kaka Pascal upo wapi?
Nafikiri anaweza pinga hukumu hii.
Jamaa angekuwa anatamba Sana. Kwankweli ule utawala ulikuwa wa kiibilisi.Ilikuwa sahihi Magufuli kufa.
Angekuwepo hadi leo Tanzania ingekuwa katika hali mbaya sana
Hivi mfano zikauzwa mali zote za Musiba pamoja na za ukoo wake mzima hiyo bilioni 9 itapatikana?Kwa mitusi aliyokuwa anaiporomosha, na vitisho vya kuuwa ALIPE TU
Wanasema, majina huumba. Wewe unaitwa msiba, lazima maisha yako yaende kimsiba.Maisha yake yatakuwa ya msiba Kama jina lake.
Hivi mfano zikauzwa mali zote za Musiba pamoja na za ukoo wake mzima hiyo bilioni 9 itapatikana?
Nimewaza atatoa wapi pesa ndefu kiasi hicho
Wanasema, majina huumba. Wewe unaitwa msiba, lazima maisha yako yaende kimsiba.
Hakuna kuescape kabisaa.Kweli huko alipo ameshaandaa kamba.
Basi naye anaayo nafasi hiyo ya kukata rufaa au kupinga amri ya Mahakama.Hata waliohukumiwa gerezani wanahiyo nafasi
AENDE CHATO AKAZICHUKUE KWA MZEE KWANI ALIKUWA ANAMTUMAMahakama Kuu ya Tanzania imempa siku 14 za kazi mmiliki wa Gazeti la Tanzanite, Cyprian Musiba na wenzake watatu kumlipa Waziri wa Mambo ya Nje Mstaafu, Benard Membe TZS bilioni 9.92 kama fidia ya kumchafua kupitia vyombo vya habari.
View attachment 2588944
Mahakama imetahadharisha deni hilo lilipwe ndani ya muda vinginevyo hatua zaidi zitachukuliwa.
Chanzo: Swahili Times
Hapana aombe radhi hadharani na kujutia makosa yake. Akubali kutembelea magoti kwenda kwa Membe. Maana sidhani Kama Membe ana shida na hizo pesa bali kumfunza adabu asirudie huo ujinga Tena.
Alikotoa ile mitusi na vitisho, akatoe huko huko...!!!Hivi mfano zikauzwa mali zote za Musiba pamoja na za ukoo wake mzima hiyo bilioni 9 itapatikana?
Nimewaza atatoa wapi pesa ndefu kiasi hicho
Musiba Kulipa fidia ya Tsh 9 bilion ni Musiba mwingineMahakama Kuu ya Tanzania imempa siku 14 za kazi mmiliki wa Gazeti la Tanzanite, Cyprian Musiba na wenzake watatu kumlipa Waziri wa Mambo ya Nje Mstaafu, Benard Membe TZS bilioni 9.92 kama fidia ya kumchafua kupitia vyombo vya habari.
View attachment 2588944
Mahakama imetahadharisha deni hilo lilipwe ndani ya muda vinginevyo hatua zaidi zitachukuliwa.
Chanzo: Swahili Times