Cyprian Musiba atakiwa kumlipa Membe Tsh. Bilioni 9 ndani ya siku 14

Cyprian Musiba atakiwa kumlipa Membe Tsh. Bilioni 9 ndani ya siku 14

Mahakama imetoa siku 14 tu Musiba awe amemlipa mzee Membe.

Ikumbuwe mzee Membe alishinda kesi na mahakama ikamuamuru Musiba kumlipa.

Sasa naona ndiyo kumekucha na naiona hata ile hukumu ya Fatuma Karume nayo itaibuka muda siyo mrefu.
Screenshot_20230416-073248_Instagram.jpg
 
HIzi story za Makonda afungwe afungwe kwa kosa gani? Makonda anadunda tu mtaani. Na alifungwa Mbowe, Makonda hajawahi kaa hata mahabusu. Nyie mliaminisha umma kuwa Makonda ana makosa mengi sana. Kumbe wala si kweli. Mpaka leo miaka miwili toka Magufuli afariki Makonda hajafunguliwa kesi yoyote ile.
Makonda anapapaswa tu siku hizi
 
Mahakama imetoa siku 14 tu Musiba awe amemlipa mzee Membe.

Ikumbuwe mzee Membe alishinda kesi na mahakama ikamuamuru Musiba kumlipa.

Sasa naona ndiyo kumekucha na naiona hata ile hukumu ya Fatuma Karume nayo itaibuka muda siyo mrefu.View attachment 2589355
Alipe tu maana huyu Mjita mwenzangu kuna kipindi ulimi na ubongo wake vilikuwa vinatoa HARUFU MBAYA SANAAAAA.
 
Kiki tu za kisiasa, wanatafuta namna ya kurudi uwanjani.

Halipwi mtu hapo
 
Musiba ni fundisho kwa vijana wenye viburi na madaraka. Kiburi kilimfanya aone anao uwezo wa kutukana kila mtu. Leo ana stress hadi kushikilia kamba ya kujinyonge.
 
Mahakama Kuu ya Tanzania imempa siku 14 za kazi mmiliki wa Gazeti la Tanzanite, Cyprian Musiba na wenzake watatu kumlipa Waziri wa Mambo ya Nje Mstaafu, Benard Membe TZS bilioni 9.92 kama fidia ya kumchafua kupitia vyombo vya habari.

View attachment 2588944

Mahakama imetahadharisha deni hilo lilipwe ndani ya muda vinginevyo hatua zaidi zitachukuliwa.
Walinda legacy wenzangu tafadhali tumchangie mwenzetu, Maan maandiko yanasema... Hakuna jiwe litalosalia juu ya jiwe yote yataondolewa!! Kwa mantiki hiyo tutembeze bakuli bagosha!!
 
Musiba ni fundisho kwa vijana wenye viburi na madaraka. Kiburi kilimfanya aone anao uwezo wa kutukana kila mtu. Leo ana stress hadi kushikilia kamba ya kujinyonge.
Kuna wakati aliwekwa kinyumba na zee moja basha la kizungu kule Masaki.
 
Mahakama imetoa siku 14 tu Musiba awe amemlipa mzee Membe.

Ikumbuwe mzee Membe alishinda kesi na mahakama ikamuamuru Musiba kumlipa.

Sasa naona ndiyo kumekucha na naiona hata ile hukumu ya Fatuma Karume nayo itaibuka muda siyo mrefu.View attachment 2589355
Alipe tu maana huyu Mjita mwenzangu kuna kipindi ulimi na ubongo wake vilikuwa vinatoa HARUFU MBAYA SANAAAAA.
Alileweshwa na malezi ya jiwe
Acha aule wa chuya kutokana na uvivu wake wa kuchambua. Akumbuke kuula na ndugu zake.
 
Mahakama imetoa siku 14 tu Musiba awe amemlipa mzee Membe.

Ikumbuwe mzee Membe alishinda kesi na mahakama ikamuamuru Musiba kumlipa.

Sasa naona ndiyo kumekucha na naiona hata ile hukumu ya Fatuma Karume nayo itaibuka muda siyo mrefu.View attachment 2589355
Membe kanyagia hapo hapo huyo papai afilisiwe hadi kijiko cha mezani
 
Back
Top Bottom