K11
JF-Expert Member
- Oct 15, 2014
- 3,447
- 11,274
Huo ndo ukweliUmeona Kama Nilivyoona Au Wanataka Kufunika Habari Nyeti Zilizopo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huo ndo ukweliUmeona Kama Nilivyoona Au Wanataka Kufunika Habari Nyeti Zilizopo
Kenge sio ya kusamehewa unatakiwa uitandike hadi damu imtoke kwenye masikio.Nikajua jamaa kasamehe
Nooo! Nisikilize vizuri, Mmawia , utendaji wa mahakama zetu nchini ni almost kama uwindaji wa kunguru na fisi--ambapo sanasana wao hukimbilia mifupa & vibudu waliouawa na simba. Why not go for a fresh kill of your own?Kwahiyo hili kwako siyo kazi ya mahakama?
hakuna kesi humo
Ni kesi ya madai , hivyo Membe ndio mwenye kauli ya mwisho.Ni Jambo Geni Maamuzi Ya Mahakama Kutotekelezwa Ikisikika Sauti Toka Juu?
Duuh, na Fatuma naye aende akakazie siyoMember alienda kufungua maombi ya kukazia hukumu.
duuh, na Fatuma naye aende akakazie siyo
Inasemekana Friends of Musiba wameandaa Harambee ya kumsaidia Cyprian Musiba kumlipa Membe fidia anayomdai
Na wameandaliwa Watu Watatu watakaoenda kumuomba mh Membe aweze kusamehe na kuachilia
Wazee hao Watatu Watamuomba mh Membe akubali kile kiasi kitakachopatika na kusamehe salio na Mungu wa mbinguni atambariki
Dominica Njema, Uchaguzi u karibu!
Mwisho wa kiburi ni fedheha.
Sio damu ya kunguni ni kwamba hana impact yeyote katika maisha ya wengine. Athari pekee aliyowahi kuwa nayo ni ulinzi wa Magufuli. Magufuli kaondoka na Musiba nae kafika ukomo wake.Shida Musiba ana damu ya kunguni mbona akina Mbowe na wenzake walipata milioni Mia tatu ndani ya siku mbili?.
mahakama haitawekea mkazo hayo madai asYes pamoja na mama Tibaijuka. Ila Musiba atumike Kama fundisho kwa chawa wengine.