Mr Pixel3a
JF-Expert Member
- Sep 15, 2021
- 5,710
- 8,579
Fundisho kwa watangazaji vimeno meno
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Whatever you call it. Makonda hawakuwahi kaa hata kituo cha polisi. Acha kulala.
Sasa hivi ata nauli ya kwenda Kwao Tarime Kusalimia hana. Da kweli Heshimu watu Sponsa Ufariki😭
deni alifungi mtu watakamata mali zake ambazo hana kitu, 😁😁😁😁😁😁Membe kaenda kukazia hukumu bado shangazi..
Je wale jamaa wa changia Musiba waliishia wapi?
Walipata bei gani? Zilienda wapi?
Hivi huyo Jamaa alipotelea wapi? Hivi yupo kweli? Alisema Risasi alizopigwa Lissu ni "Branco".
Potelea pote , atimue mbio tu , naye Membe ni binadamu anaweza kumsamehe akiona mpaka ameamua kukimbia .
Ila namuonea huruma huyu bwana maana hata asipolipa simuoni kuishi kwa amani maana vitisho nje nje .
deni alifungi mtu watakamata mali zake ambazo hana kitu, 😁😁😁😁😁😁
Afilisiwe mali za Mama yake? Labda hilo la Jela japo mtaalam wanakuambia Deni halimfungi mtuAsipozilipa afilisiwe hafalu akanyee debe.
Huyu chawa bado yupo?Mahakama Kuu ya Tanzania imempa siku 14 za kazi mmiliki wa Gazeti la Tanzanite, Cyprian Musiba na wenzake watatu kumlipa Waziri wa Mambo ya Nje Mstaafu, Benard Membe TZS bilioni 9.92 kama fidia ya kumchafua kupitia vyombo vya habari.
View attachment 2588944
Mahakama imetahadharisha deni hilo lilipwe ndani ya muda vinginevyo hatua zaidi zitachukuliwa.
uwezo wa musiba kulipa ni elfu 20000 kila mwezi , na atatekeleza hilo kikamilifu tuone kama atawekwa kizuiziniUkikosa Mali, wanakuweka kizuizini kwa gharama za mdai mpaka ulipe hicho kiasi.
Sheria za ushoga zimelegezwa wafunge nae ndoa.Afilisiwe mali za Mama yake? Labda hilo la Jela japo mtaalam wanakuambia Deni halimfungi mtu
Kwani kile kimedia chake sibado kipo?Afilisiwe mali za Mama yake? Labda hilo la Jela japo mtaalam wanakuambia Deni halimfungi mtu
Ukikosa Mali, wanakuweka kizuizini kwa gharama za mdai mpaka ulipe hicho kiasi.
Akope 10b Tumpe Odds 10 Aweke Mkeka Analipa Deni Afu Anabaki Na Chenji!
JK aliposema ya kuambiwa changanya na yako wakina Musiba hawakumuelewa.. [emoji23]Waliomtuma wamemtelekeza
Nimeona barua yono inasambaa after hizo siku kazi anayoWatachukua Mali zake zote na kupingwa mnada na Madalali wa mahakama, Kama kiasi hakitoshi Basi, atatawekwa kizuizini mpaka pesa yote ilipwe. Nadhani Membe shida yake sio hiyo pesa bali anahitaji jamaa akae ndani hata Mwezi mmoja.