Vincenzo Jr
Platinum Member
- Sep 23, 2020
- 24,262
- 58,728
Nani mdogo wako kuwa na heshima mastaMimi naujua muziki mdogo wangu uwe unaniskiza kwa makini.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nani mdogo wako kuwa na heshima mastaMimi naujua muziki mdogo wangu uwe unaniskiza kwa makini.
Nidhamu ni pamoja na kuheshimu makubaliano sasa hivi unafanyika uwekezaji ila kuna siku itakuja pesa nyingi sana kila zuri la leo litageuka ubaya. Nidhamu ni key ya mafanikio.Sawa mkuu
nidhamu ifanyike everywhere 😊☺️hata mtu akiwa anadai chake awe na nidhamu ✌️✌️
Wewe kwangu ni bwn mdogo sio kumri ila kiupeo na exposure. So you have to accept that.Nani mdogo wako kuwa na heshima masta
ImbecileWewe kwangu ni bwn mdogo sio kumri ila kiupeo na exposure. So you have to accept that.
mama samia = Mama Samia. Wewe mbona ni mpuuzi kiasi hiki?Sawa msomi, lastborn wa mama samia 😂😂
Huyu wa kike kama zuchu,karembo sanaView attachment 2816392
Msanii wa kizazi cha leo na kesho aliyetambulishwa recently na lebo namba moja Africa ya WCB Wasafi.
Kwa jina anaitwa D Voice aka Jini aka London Boy au Temeke Boy.
Huyu ndio future ya muziki wa bongo kwa ujumla. Ndio anaenda kuibeba mabegani industry ya muziki wa bongo ni suala la muda tu.
Anakipaji kikubwa sana cha kuimba ana vocal hadimu mno kama unamsikia Issa Matona alafu kama unamsikia Misambano alafu kama unamsikia TX Moshi kwa mbali kama Kassim Mganga.
Anaweza imba kila aina ya muziki lakini nguzo yake kubwa ni muziki wa pwani haswa singeli na lebo inajaribu kutafuta biashara ya singeli nje ya mipaka so dogo atarajie kutembea sana kulitafuta tobo.
Dogo anaandika sana, ameshaandika hitsongs nyingi za singeli za kina mzee wa bwax kina meja kunta na mabongofleva wengine kibao. Ukisikiliza album yake utasikia skills za uhandishi uloshiba na fleva.
Ana star look kitu ambacho ni muhim sana kwenye sanaa na hajapoa kash kash za showbiz anaziweza ni ishu ya muda tu. Umri wake pia ni mdogo kuendana na walaji wakuu wa muziki wa sasa.
Kila la heri mdogo wetu nakutakia mafanikio katika safari yako ya kuwa big supastaa duniani.
Nakushauri tu endelea kuonesha nidhamu kwa kila mtu na kubwa uache tabia yako ya mishangazi ushajipata sasa.
Bongofleva tumepata zawadi kubwa sana, shukran sana kwa Diamond Platnumz na pia kwa Zuchu kwa kuiona hii almasi kwenye mchanga.
Mziki wao sahvi unaendana na waliyoHuyu wa kike kama zuchu,karembo sana
Upo obsessed sana na mashoga ipo namna sio bure. TumekushtukiaMziki wao sahvi unaendana na waliyo
Left group aise
Ova
Sawa, siku ukitaka connection na Abdul nicheki. Lakini ni mpemba yule ukijilegeza kama hapa utawekwamama samia = Mama Samia. Wewe mbona ni mpuuzi kiasi hiki?
Nilijua ni mimi tu sijaona ngoma kali sana iliyonishtua nyimbo zote za kawaida mno. Kipindi wanatoka kina harmonize, rayvanny, lava lave walianza na ngoma kali sana.Kwa jinsi nilivyo sikiliza ile album jana naweza sema hii ni sajili ya kitapeli kama ya simba sc kwa ayubu
Wewe unawaza upuuzi ndo maana unaandika upuuziSawa, siku ukitaka connection na Abdul nicheki. Lakini ni mpemba yule ukijilegeza kama hapa utawekwa
Mama abdul upo?Hadimu = adimu, uhandishi = uandishi. Wewe chawa jifunze kuandika
Kamuulize mama akoMama abdul upo?