Daaah mwanetu Joslin ashapoteana. Mtazame hapa alivyo sasa

Cocaine inabidi uwe na chanzo cha kueleweka cha kipato...ukiwa na hela cocaine wala haikuchoshi utakufa tu ghafla kwa mshtuko kwa moyo... Mateja wengi bongo hawamudu cocaine wanaishia kwenye Heroin au machalas (mabaki tu ya cocaine)
Yes cocaine inabidi uwe na Hela ya kutosha
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…