Dada akodi bus zima la Abood akiwa yeye na mtoto wake pekee

Good idea
 
Watu wana mind wkt unaambiwa katumia zaidi ya laki sita
Wkt kna watu wakiendq kidimbwi sjui element wanatumiaa mpk milion na wakiamkaa maumivu
Huyu dada kajuaa kuenjoy na pesa yake

Ova
Halafu kapitia njia ya bagamoyo
 
Mnasema stress, mtu ni mtanzania aishie Norway. Kaja motherland kula goodtime halafu bado tunadiss. Kweli tutafika tukiwa tumechoka sana [emoji2][emoji2][emoji2]
Hiki kitendo kinahalalisha tozo ziendelee[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Safari ya hivi inabidi iwe ndefu kiasi.
 
Kwani usipoamini wewe itaondoa ukweli wa habari!

Wewe fanya Kama hukuisikia hi habari, hutopata shida!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…