Dada aliyesababisha Jay Z kupewa kichapo na Solange ajitokeza

Dada aliyesababisha Jay Z kupewa kichapo na Solange ajitokeza

Watu huwa wanajishaua na kujifanya kuiponda USA lakini kumbe wanaipenda na kufuatilia mambo yake na watu wake.

Unakuta kamtu kamepanga huko Uswahilini kichumba labda na sebule, maji hayatoki bombani....kinajaza maji kwenye ndoo na kutumia likikombe likuuubwa kuogea.

Halafu kikija humu kinajifanya kigwiji cha celebrity gossip hadi kwapa kinasahau kushevu achilia mbali kukumbuka kupaka hata ki deodorant cha buku 2.

USA baby.......
hahahahah...we inaonekana ndio maisha yako hayo uko tandale kila siku kujifanya ..usa baby huna lolote
 
Beyoncé ana genes za waswahili...angekuwa mzungu asinge tolerate kuchitiwa...yani sasa hivi angekuwa kwenye ndoa ya saba...na hivi bado ni mzuri...
Life is too short kuishi maisha fake...

Mfano yule anaye act Batman si keshaachwa na mkewe sababu tu ilikuwa kwenye media anatoka na nanny wa watoto wao...mama kaona upuuzi gani...kampiga jamaa chini...and they were the best couples kwa Hollywood...
 
hahahahah...we inaonekana ndio maisha yako hayo uko tandale kila siku kujifanya ..usa baby huna lolote

Umeng'ang'ania Tandale tu....kwa nini isiwe Dumila, Busanda, au Kilulu.

Naweza kweli hata huko USA sijawahi kufika lakini we umekariri Tandale tu.

Huko ndo kwenu?

USA baby......
 
Watu huwa wanajishaua na kujifanya kuiponda USA lakini kumbe wanaipenda na kufuatilia mambo yake na watu wake.

Unakuta kamtu kamepanga huko Uswahilini kichumba labda na sebule, maji hayatoki bombani....kinajaza maji kwenye ndoo na kutumia likikombe likuuubwa kuogea.

Halafu kikija humu kinajifanya kigwiji cha celebrity gossip hadi kwapa kinasahau kushevu achilia mbali kukumbuka kupaka hata ki deodorant cha buku 2.

USA baby.......
hahaha naamini inawagusa vijana wa tandale kama Diamond, ukonga kama lady jay dee, mr Blue, shilole, Kina Chege mkubwa fela wa Temeke, Masanja mkandamizaji wa ludewa huko nakumbuka nilipita kijijini kwao huko 2010 sikumbuki hata kuona nyaya za umeme huko, kina joti na mpoki sijui wa buguruni .....pia kina Tunda man madee wa manzese...hata Mbwana samata mbagala huko, dada zetu wa magomeni, kinondoni etc wanaokwenda china, uturuki, brazil SA na kuja kuanzisha butiki zao.......and so many.

Nadhani access to information, hollywood movies, music, fashion, magazines, vibanda vyakuonyesha video uswahilini...inspired them to be who they are today na kuheshimika kwenye jamii kwamba; waweza kuona kusikia kuiga kuweka malengo nia kazi kwa bididi nakufikia malengo yako. wengi wao nadhani walijiuliza kwamba kama wale wanaweza sie tutashindwa nn.

They have good stories to tell..... na ni jambo jema kwa watoto wetu na future ya Tanzania.
 
Tatizo la Queen B anapenda kuigiza maisha,
It's time to free herself.
 
hahaha naamini inawagusa vijana wa tandale kama Diamond, ukonga kama lady jay dee, mr Blue, shilole, Kina Chege mkubwa fela wa Temeke, Masanja mkandamizaji wa ludewa huko nakumbuka nilipita kijijini kwao huko 2010 sikumbuki hata kuona nyaya za umeme huko, kina joti na mpoki sijui wa buguruni .....pia kina Tunda man madee wa manzese...hata Mbwana samata mbagala huko, dada zetu wa magomeni, kinondoni etc wanaokwenda china, uturuki, brazil SA na kuja kuanzisha butiki zao.......and so many.

Nadhani access to information, hollywood movies, music, fashion, magazines, vibanda vyakuonyesha video uswahilini...inspired them to be who they are today na kuheshimika kwenye jamii kwamba; waweza kuona kusikia kuiga kuweka malengo nia kazi kwa bididi nakufikia malengo yako. wengi wao nadhani walijiuliza kwamba kama wale wanaweza sie tutashindwa nn.

They have good stories to tell..... na ni jambo jema kwa watoto wetu na future ya Tanzania.

There's some merit to what you're saying.

However, those so called boutiques are full of knockoffs.

And yes, easy access to information, YouTube videos and the like are a source of inspiration to many who don't have the wherewithal to be where shit happens.

Thus they copy.

Juzi kuna kadada flani hivi kamjini ambako huwa kanauza sijui dstv receivers/ boxes...nilikaona kamepiga eti Gucci from head to toe.

Binafsi sidhani kabisa alichokuwa kavaa ni Gucci. Ni feki kila kitu.

But hey....to each his own.

Ila Tanzania iko mbioni kuja kuwa soko kubwa sana la counterfeits. Si Jordans, si Burberry, si Fendi,....you name it.....wajanja tayari washazikopi na zinauzwa mjini hapa.

Ushaona wapi pumps za Balenciaga zinauzwa elfu 50.....shilingi....?
 
hahaha naamini inawagusa vijana wa tandale kama Diamond, ukonga kama lady jay dee, mr Blue, shilole, Kina Chege mkubwa fela wa Temeke, Masanja mkandamizaji wa ludewa huko nakumbuka nilipita kijijini kwao huko 2010 sikumbuki hata kuona nyaya za umeme huko, kina joti na mpoki sijui wa buguruni .....pia kina Tunda man madee wa manzese...hata Mbwana samata mbagala huko, dada zetu wa magomeni, kinondoni etc wanaokwenda china, uturuki, brazil SA na kuja kuanzisha butiki zao.......and so many.

Nadhani access to information, hollywood movies, music, fashion, magazines, vibanda vyakuonyesha video uswahilini...inspired them to be who they are today na kuheshimika kwenye jamii kwamba; waweza kuona kusikia kuiga kuweka malengo nia kazi kwa bididi nakufikia malengo yako. wengi wao nadhani walijiuliza kwamba kama wale wanaweza sie tutashindwa nn.

They have good stories to tell..... na ni jambo jema kwa watoto wetu na future ya Tanzania.

There's some merit to what you're saying.

However, those so called boutiques are full of knockoffs.

And yes, easy access to information, YouTube videos and the like are a source of inspiration to many who don't have the wherewithal to be where shit happens.

Thus they copy.

Juzi kuna kadada flani hivi kamjini ambako huwa kanauza sijui dstv receivers/ boxes...nilikaona kamepiga eti Gucci from head to toe.

Binafsi sidhani kabisa alichokuwa kavaa ni Gucci. Ni feki kila kitu.

But hey....to each his own.

Ila Tanzania iko mbioni kuja kuwa soko kubwa sana la counterfeits. Si Jordans, si Burberry, si Fendi,....you name it.....wajanja tayari washazikopi na zinauzwa mjini hapa.

Ushaona wapi pumps za Balenciaga zinauzwa elfu 50.....shilingi....?
 
Hii habari imeandikwa kinafki sana. Jay-Z hakupokea "kichapo", bali alifanyiwa fujo na akai-handle situation like a true man.

Jay can wife any chick, and make her a queen. Bey can't even find a Jay's match, let alone an upgrade. She knows, hence she sticks around.
Ukweli ula unauma,if I were Bey I would cheat too to neutralize the pain,but make sure he doesn't find out,B akiachana na huyu yani hata sijui nani wa kumuoa,
 
Ile clip niliiona na nikashangaa kwanini Bey alibaki anaangalia tu...

Yule Solange nae anaonekana 'mswahili' sana
Kuna tyms mwanaume anaweza akakuumiza hadi the only option ikawa kutulia tu usifanye chochote
 

USA what? Malizia basi hapo.....

Heheheee halafu siku hizi watu kibao wanasema USA baby humu.

Hata wanaojifanya wananichukia (ingawa najua wananikubali tu hata kimoyo moyo) nao wanaisema USA baby.

Dinazarde baby.....
 
Beyoncé ana genes za waswahili...angekuwa mzungu asinge tolerate kuchitiwa...yani sasa hivi angekuwa kwenye ndoa ya saba...na hivi bado ni mzuri...
Life is too short kuishi maisha fake...

Mfano yule anaye act Batman si keshaachwa na mkewe sababu tu ilikuwa kwenye media anatoka na nanny wa watoto wao...mama kaona upuuzi gani...kampiga jamaa chini...and they were the best couples kwa Hollywood...
Hahahha angekuwa Africa angeenda kuroga kabisaa amtulize Jay lol
 
Ukweli ula unauma,if I were Bey I would cheat too to neutralize the pain,but make sure he doesn't find out,B akiachana na huyu yani hata sijui nani wa kumuoa,

But who's to say Beyonce has never strayed?

Au watu mnasadiki tu kuwa hajawahi kuchepuka kwa vile yeye ndo mwanamke?

Hamjawahi kuzisikia tetesi za Beyonce kumegwa na bodyguard wake aitwayeJulius?

Jaribu ku Google hiyo kitu uone......
 
Tatizo la Queen B anapenda kuigiza maisha,
It's time to free herself.
Ana tatizo pia la kuexpect perfection,kisa Jay kambikiri basi ana hopes za happily ever after, nani kasema,ndo dunia hio,wapo walochezewa na wanaume 20 afu wakapata waume wasiocheat...heheh
 
But who's to say Beyonce has never strayed?

Au watu mnasadiki tu kuwa hajawahi kuchepuka kwa vile yeye ndo mwanamke?

Hamjawahi kuzisikia tetesi za Beyonce kumegwa na bodyguard wake airways Julius?

Jaribu ku Google hiyo kitu uone......
Why she so bitter though,...kushindana na mwanaume anaecheat kwa kweli ni shida sana,ukicheat unamuona ur guy average tu na unakosa zile pozi za kumshutumu why he's cheating coz u know u hitting it too,..
 
Beyonce to Fire Julius De Boer: Did She Get Caught Cheating With Head Bodyguard?

Rumors that Beyonce cheated with Julius De Boer - the head of her security team - have been around for months.

Obviously, there's never been any confirmation that Bey and her bodyguard/"friend" Julius carried on an affair behind Jay Z's back, but recent developments certainly make it seem as though something inappropriate took place.


 
Watu huwa wanajishaua na kujifanya kuiponda USA lakini kumbe wanaipenda na kufuatilia mambo yake na watu wake.

Unakuta kamtu kamepanga huko Uswahilini kichumba labda na sebule, maji hayatoki bombani....kinajaza maji kwenye ndoo na kutumia likikombe likuuubwa kuogea.

Halafu kikija humu kinajifanya kigwiji cha celebrity gossip hadi kwapa kinasahau kushevu achilia mbali kukumbuka kupaka hata ki deodorant cha buku 2.

USA baby.......
Watu huwa wanajishaua na kujifanya kuiponda USA lakini kumbe wanaipenda na kufuatilia mambo yake na watu wake.

Unakuta kamtu kamepanga huko Uswahilini kichumba labda na sebule, maji hayatoki bombani....kinajaza maji kwenye ndoo na kutumia likikombe likuuubwa kuogea.

Halafu kikija humu kinajifanya kigwiji cha celebrity gossip hadi kwapa kinasahau kushevu achilia mbali kukumbuka kupaka hata ki deodorant cha buku 2.

USA baby.......
Watu huwa wanajishaua na kujifanya kuiponda USA lakini kumbe wanaipenda na kufuatilia mambo yake na watu wake.

Unakuta kamtu kamepanga huko Uswahilini kichumba labda na sebule, maji hayatoki bombani....kinajaza maji kwenye ndoo na kutumia likikombe likuuubwa kuogea.

Halafu kikija humu kinajifanya kigwiji cha cel
ebrity gossip hadi kwapa kinasahau kushevu achilia mbali kukumbuka kupaka hata ki deodorant cha buku 2.

USA baby.......

umenikumbusha vikwapa unakuta mtu kavaa vyema kabisaa lakini mkipishana kwapa hilooo.aisee wabongo na kunuka vikwapa tunatishaaa ,mwingine ana uwezo wa kununua deodorant lakin sijui anafurahia ile harufu
inabidi liwe somo hilii
 
Why she so bitter though,...kushindana na mwanaume anaecheat kwa kweli ni shida sana,ukicheat unamuona ur guy average tu na unakosa zile pozi za kumshutumu why he's cheating coz u know u hitting it too,..

Ona hilo bandiko langu hapo juu....

And why is she salty? Well....labda ndo yale mambo ya mtenda akitendwa......

I'm just sayin......
 
umenikumbusha vikwapa unakuta mtu kavaa vyema kabisaa lakini mkipishana kwapa hilooo.aisee wabongo na kunuka vikwapa tunatishaaa ,mwingine ana uwezo wa kununua deodorant lakin sijui anafurahia ile harufu
inabidi liwe somo hilii

Nataka nianzishe kampeni ya #ChukiaKikwapa# huko kwenye social media. Ila tatizo mi sipo huko kwenye 'Gram Na Twitter na sijui snapchat na periscope na hayo mazagazaga mengine.

Nisaidie basi huko kwingine halafu huku JF niachie mwenyewe.

Halafu kuna mabango nimeyaona ni tupu, hayana matangazo.

Napanga nije ninunue hizo spaces niweke matangazo ya kupiga vita vikwapa.
 
Back
Top Bottom