Hahah nakumbuka miaka ya 2016/17 kukusoma humu ukizungumza mambo ya familia yako,but yumkini unawadanganya wadogo zako hapa baada ya kuona kwako limebuma?Mimiiii?!!!! Mke wa mtu??? Umechanganya id kaka....
Kaka sina mme.....kataa ndoa.Hahah nakumbuka miaka ya 2016/17 kukusoma humu ukizungumza mambo ya familia yako,but yumkini unawadanganya wadogo zako hapa baada ya kuona kwako limebuma?
Usifanye hivyo aisee acha hiyo hali iishie kwako hali mbaya sana mtaani.
Kabisa upo sahihi!sijaandka nikiwa nmelewa npo timamu kwaio najua,,ila sio mbaya kuandka unachofkiria kwa mda uo haswaaaa hum jf
sio kwa maisha ya mtandaoni nduguKabisa upo sahihi!
Lakini wakati mwengine inaweza kuwa aandikacho mtu ndicho anachokiamini or kadiri anavyokiandika ndivyo atatamani kuki-practice kwenye maisha yake.
Mbona sisi kaka zao na dada zao tunaishi kwenye ndoa miaka na miaka bila tatizo?ukichukulia wao baadhi wenye bahati mpaka leo mama zao na baba zao wanaamkia chumba kimoja!!!Kaka sina mme.....kataa ndoa.
Vijana wakimbie huu mtego
Doooh unanitenga sasaweee mi situmii bangi unayotumia wewe ujue
sitaki kuolewa nawewe πππππ toka kwenye uzi wawatuDoooh unanitenga sasa
AmenSure!
Na ikawe hivyo.
π₯Ίπ₯Ίπ₯ΊWhy kwanini au tayari ushakaa.kijanja kwa mwinginesitaki kuolewa nawewe πππππ toka kwenye uzi wawatu
nani mimiππ³ππ₯Ίπ₯Ίπ₯ΊWhy kwanini au tayari ushakaa.kijanja kwa mwingine
Unanichanganya sasa which is which ππππππππnani mimiππ³π
ebu uko nawew,,unachafua uzi wawatu πΆπΎββοΈπΆπΎββοΈπΆπΎββοΈUnanichanganya sasa which is which ππππππππ
Ndio wewe
Uzi unasemaje kwani...ebu uko nawew,,unachafua uzi wawatu πΆπΎββοΈπΆπΎββοΈπΆπΎββοΈ
πΆπΎββοΈππΎββοΈUzi unasemaje kwani...
Skia sasa nikuambie kitu
Chap kwaaah πππ¬πΆπΎββοΈππΎββοΈ
punguza vigezo utampata,,ila huwezi pata perfect bwana,, mengne utamfunza weye.