Dada una miaka 28+ unatoa wapi ujasiri wa kuuliza namba yangu umepata wapi?

Jamaa alichofeli kashindwa kuomba namba kijanja wakati anapataga Airtime ya kuongea na manzi! Ni domo zege msela
At first sight,
Nilivosoma TU uzi kua kaenda kuomba namba kwa shoga ake.

Nikaishia tu hapo hapo,

Nikajua kabisa tayar Mtoa mada keshatutoka, sio MWENZETU tena[emoji4]
 
Mwanaume kulaumu Laumu ovyo wanawake Ni ishara ya kutokujiamini.

Wanaume na sisi tuache sana lawama, Tutafute pesa.
Mambo mengine tuiachie natural selection ifanye kazi yake.

Tusijiwekee Sana guarantee ya kukubaliwa kila tunapomhitaji mwanamke.

Wanawake nao ni binadamu wanahaki na utashi wa kuchagua wale wanaowapenda .

UKIKATALIWA USIWEKE sana NONGWA, Utakuja kufa Depression.

Na dunia yenyewe hi tunapita,
Afu maisha yenyewe Aya mafupi unashindwa ata kuyafurahia.

Kiukweli,
Usitake kunambia Ndani ya wanawake billion 5 duniani, huwezi kosa mwanamke 1 atakae kuelewa na wewe ukamuelewa.

Haya,
Mambo ya kuforce force mahusiano na watu wasiowapenda, MWISHO wa siku mnatujazia server na nyuz zenu za kulia Lia mnatendwa kila mara.
 
Ilikuwa ni suala la kumjibu ulipoitoa namba yake,ni jeuri kuuliza hilo swali? Kwanza we jamaa ni mzembe kama umeshindwa kumface mwanamke ukaomba namba

Wavulana kwanini mna ujinga mwingi namna hii?
Mwanaume hajawahi kuishiwa ujinga, hizo zinaitwa mbinu shirikishi.
 
Then why cant u tell her where u got it!?..whats stopping you?.

I don’t want to be reason for chaos bro..! I will tell her but not now..! And the girl who gave me her number insisted not to tell it’s her friend who gave me the number.!
 
 
Halafu ukishatajiwa flani katoa namba ukamletee makelele ama ni kitu gani kitafuata?

At last someone has my back…! Girls were attacking from every angle …! Meennn [emoji28][emoji28][emoji28]Yaani kudadek
 
Pale ulipo kakaa...u said it allπŸ™
 
Jua limezama afu bado analeta pozi.
Ila na wewe umeshindwa vip kumuomba namba direct ukaamua kuzunguka mbuyu

Suala ni kwamba ilikuwa nimuombe ila tatizo wakati ninapotaka kumuomba inakuwa labda yupo na rafiki zake anakuambia nakuja ngoja nimalizane na wenzangu hivyo..! Sasa niliporudi pale yule rafiki yake akaniambia hayupo ila kama nina shida naye atanisaidia namba..! Na akasema nisimtaje tu kama amenipa namba. [emoji28][emoji28]
 
Tunaomba ujengewe sanamu pembeni ya Askari Monument🎊

mtu umri wake kusogea isiwe kigezo cha kuwa treated vyovyote...

sio hata suala la haki ni uungwana tu wa kibinadamu..bila kujali jinsia
 
We mwambie where u got the number na mazingira cz hapatikaniki

km ni wako atakua wako tu
And viceversa is true
 

Alfu wewe unataka mimi niwe chanzo cha Chaos seriously?? Hunitakii mema rafiki [emoji28]
 

Ahsante kwa kunifumbua, Okay nakubali nilifeli kuchelewa kuchukua namba kutoka kwa mhusika. Ila suala la kumtajia aliyenipa namba siwezi fanya Bro, I can’t break the promise na pia naogopa kusababisha Chaos
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…