Ulimbo
JF-Expert Member
- Aug 14, 2009
- 3,768
- 4,038
Alvin ndo mimi
Sasa kwenye hayo majinambona sijaona jina lako? au ndo ile ya mganga ajigangi?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Alvin ndo mimi
Ukiwa mkweli saaaaaaana huwapati aiseeMwanaume kudanganyana sio poa..pia mwanamke. Sikusemi.
Imagine unakua open afu mwenzio anakudanganya..mimi kukuongopea kidogo imeuma Yemie wakati wewe ndio ulifumfunza Johnny.
Basi nijibu swali hili "Uko wapi?
Toroka uje kwangu penye asali na maziwa Mama [emoji28]aisee kina Abdully ni pasua kichwa sanaa alf mabishoo balaaa
Ishanikosti sana hii tabia.. Mbaya zaidi sijui kudanganya, I feel so Guilty when I lieUkiwa mkweli saaaaaaana huwapati aisee
Rafiki kipenzi yupi naweweacha kudanganya mkuu, angalia la rafiki yako kipenzi mnafanana
Sasa huyo Mohamed bhana. [emoji23]hata wewe unamjua. Ni pasua kichwa, ila kwa kujitetea na maneno matamu hauwezi kumnunia hata.[emoji23] [emoji23]
Nimeshawataja ninaowafahamu B, huyo Mohammed nilikuwa nakuzungumzia wewe, mie nilikutana na mmoja tu alikuwa c/mate na hatukuwa karibu so simfahamu vizuri..
Nakujibu tena kwa herufi Kubwa hapa Hadharani NIPO ARUSHA, NAFANYA KAZI ARUSHA, NINAISHI ARUSHA. Huo mkoa unaolazimisha kwamba nipo huko Nilisoma shahada yangu ya kwanza huko.Mwanaume kudanganyana sio poa..pia mwanamke. Sikusemi.
Imagine unakua open afu mwenzio anakudanganya..mimi kukuongopea kidogo imeuma Yemie wakati wewe ndio ulifumfunza Johnny.
Basi nijibu swali hili "Uko wapi?
Haha'.!! Hivi B, hapa unajua utanipa sababu 1,000 za kuunganisha matukio??Sasa huyo Mohamed bhana. [emoji23]hata wewe unamjua. Ni pasua kichwa, ila kwa kujitetea na maneno matamu hauwezi kumnunia hata.
Kwenye michepuko mingi... [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]sitaki ugomvi ngoja nisiseme kitu.
[emoji23][emoji23]Hapana kama unamsicha usikose ibadani mlima wa moto J2 HII
Mkuu ongeza list sijaonaYupo hapo angalia vizuri au hapa A.K.A yake haipo?
Huu uzi unapaswa uwe uzi bora wa muda wote tangu 2018 hadi karne za karne zote [emoji119]Jamaa amepatia wengi wenye hayo majina ndo matendo yao