Paa
JF-Expert Member
- Jun 12, 2015
- 1,462
- 2,935
Yupo dada wa kazi hapa home,
Chai anaiva wote tukishatoka kwenda kwenye majukumu huko, na anaamka mapema kabisa saa 12, tukirudi jioni tunaikuta kwenye chupa
Mchana hapiki kwasababu sote tunakua hatupo home (hapa sina tatizo)
Shida inakuja usiku, anapika chakula kidogo sana... yaani hata akitokea mgeni tunakosa chakumpa ili ale. Sababu yake anayotoa ni kua mgeni atoe taarifa mchana kabla hajaja ili share yake iwekwe
Anatujali tu sisi hapa wa nyumbani lakini si mkarimu kwa wageni
Ninachompendea anajua kupika sana, chakula chake kizuri
Nifanyeje abadilike?
Chai anaiva wote tukishatoka kwenda kwenye majukumu huko, na anaamka mapema kabisa saa 12, tukirudi jioni tunaikuta kwenye chupa
Mchana hapiki kwasababu sote tunakua hatupo home (hapa sina tatizo)
Shida inakuja usiku, anapika chakula kidogo sana... yaani hata akitokea mgeni tunakosa chakumpa ili ale. Sababu yake anayotoa ni kua mgeni atoe taarifa mchana kabla hajaja ili share yake iwekwe
Anatujali tu sisi hapa wa nyumbani lakini si mkarimu kwa wageni
Ninachompendea anajua kupika sana, chakula chake kizuri
Nifanyeje abadilike?