Dada wa kazi ni mchoyo sana, nifanyeje?

Dada wa kazi ni mchoyo sana, nifanyeje?

Yupo dada wa kazi hapa home,

Chai anaiva wote tukishatoka kwenda kwenye majukumu huko, na anaamka mapema kabisa saa 12, tukirudi jioni tunaikuta kwenye chupa

Mchana hapiki kwasababu sote tunakua hatupo home (hapa sina tatizo)

Shida inakuja usiku, anapika chakula kidogo sana... yaani hata akitokea mgeni tunakosa chakumpa ili ale. Sababu yake anayotoa ni kua mgeni atoe taarifa mchana kabla hajaja ili share yake iwekwe

Anatujali tu sisi hapa wa nyumbani lakini si mkarimu kwa wageni

Ninachompendea anajua kupika sana, chakula chake kizuri

Nifanyeje abadilike?
Mkuu, hakikisha unamla huyo Dada
 
Yupo dada wa kazi hapa home,

Chai anaiva wote tukishatoka kwenda kwenye majukumu huko, na anaamka mapema kabisa saa 12, tukirudi jioni tunaikuta kwenye chupa

Mchana hapiki kwasababu sote tunakua hatupo home (hapa sina tatizo)

Shida inakuja usiku, anapika chakula kidogo sana... yaani hata akitokea mgeni tunakosa chakumpa ili ale. Sababu yake anayotoa ni kua mgeni atoe taarifa mchana kabla hajaja ili share yake iwekwe

Anatujali tu sisi hapa wa nyumbani lakini si mkarimu kwa wageni

Ninachompendea anajua kupika sana, chakula chake kizuri

Nifanyeje abadilike?
Mbususu anamgawia mzee wa nyumba au nayo ni mchoyo pia... [emoji23] [emoji23]
 
Yupo dada wa kazi hapa home,

Chai anaiva wote tukishatoka kwenda kwenye majukumu huko, na anaamka mapema kabisa saa 12, tukirudi jioni tunaikuta kwenye chupa

Mchana hapiki kwasababu sote tunakua hatupo home (hapa sina tatizo)

Shida inakuja usiku, anapika chakula kidogo sana... yaani hata akitokea mgeni tunakosa chakumpa ili ale. Sababu yake anayotoa ni kua mgeni atoe taarifa mchana kabla hajaja ili share yake iwekwe

Anatujali tu sisi hapa wa nyumbani lakini si mkarimu kwa wageni

Ninachompendea anajua kupika sana, chakula chake kizuri

Nifanyeje abadilike?

Wewe ni me au ke? Kwamba msaidizi wako anakupangia cha kufanya kwako nawe unajiona mwenye familia?
 
Yupo dada wa kazi hapa home,

Chai anaiva wote tukishatoka kwenda kwenye majukumu huko, na anaamka mapema kabisa saa 12, tukirudi jioni tunaikuta kwenye chupa

Mchana hapiki kwasababu sote tunakua hatupo home (hapa sina tatizo)

Shida inakuja usiku, anapika chakula kidogo sana... yaani hata akitokea mgeni tunakosa chakumpa ili ale. Sababu yake anayotoa ni kua mgeni atoe taarifa mchana kabla hajaja ili share yake iwekwe

Anatujali tu sisi hapa wa nyumbani lakini si mkarimu kwa wageni

Ninachompendea anajua kupika sana, chakula chake kizuri

Nifanyeje abadilike?
Nyie sindowatafutaji mwambie awe anapika kiasi mnachotaka nyinyi sio anachotaka yeye. I hope atasawazisha kipimo
 
Naungana na uchoyo wa Dada wa kazi kwenye bajeti ya mgeni...kuhusu msosi wenu mchaneni tu
 
YUKO vzr BINTI SASA wageni wa kuja kuja tu kama chafya wakome mjini hapa na akipika kingi lazima kitabaki ILI asbuh akile kipolo mtoto wa watu MWISHO wa siku awe na kitambi kama madancer wa twanga pepeta
Mkija kijijini tunawopokea vizuri sana hatuna hayo masimango na hamji hata na kitu bora sie tunawabebea mahindi, mchele kutoka kijijini na cha kusikitisha mnatuuliza tunaondoka lini


Hivi watu wa mjini mmekuaje mwanangu ?
 
House geli mnashindwa kumpa wajibu.

Au ni hiyo chai anakuwa amepikia maji aliyonawia ndo inakuzuzua

Mambo mengine oops
 
Yupo dada wa kazi hapa home,

Chai anaiva wote tukishatoka kwenda kwenye majukumu huko, na anaamka mapema kabisa saa 12, tukirudi jioni tunaikuta kwenye chupa

Mchana hapiki kwasababu sote tunakua hatupo home (hapa sina tatizo)

Shida inakuja usiku, anapika chakula kidogo sana... yaani hata akitokea mgeni tunakosa chakumpa ili ale. Sababu yake anayotoa ni kua mgeni atoe taarifa mchana kabla hajaja ili share yake iwekwe

Anatujali tu sisi hapa wa nyumbani lakini si mkarimu kwa wageni

Ninachompendea anajua kupika sana, chakula chake kizuri

Nifanyeje abadilike?
Mpimie CHAKULA Cha kupika
 
uyo dada safi sana natamani wife ajifunze kwake

maana anapikia ukoo familia ya watu 4

nshaongea nmechoka

na kiporo uwa halagii nakomaa nacho ,,,,,[emoji3][emoji3]
[emoji23]
 
Back
Top Bottom