Frank Hood
JF-Expert Member
- Oct 15, 2021
- 597
- 1,374
Suluhisho ingia jikoni upike mwenyewe
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu, hakikisha unamla huyo DadaYupo dada wa kazi hapa home,
Chai anaiva wote tukishatoka kwenda kwenye majukumu huko, na anaamka mapema kabisa saa 12, tukirudi jioni tunaikuta kwenye chupa
Mchana hapiki kwasababu sote tunakua hatupo home (hapa sina tatizo)
Shida inakuja usiku, anapika chakula kidogo sana... yaani hata akitokea mgeni tunakosa chakumpa ili ale. Sababu yake anayotoa ni kua mgeni atoe taarifa mchana kabla hajaja ili share yake iwekwe
Anatujali tu sisi hapa wa nyumbani lakini si mkarimu kwa wageni
Ninachompendea anajua kupika sana, chakula chake kizuri
Nifanyeje abadilike?
Mbususu anamgawia mzee wa nyumba au nayo ni mchoyo pia... [emoji23] [emoji23]Yupo dada wa kazi hapa home,
Chai anaiva wote tukishatoka kwenda kwenye majukumu huko, na anaamka mapema kabisa saa 12, tukirudi jioni tunaikuta kwenye chupa
Mchana hapiki kwasababu sote tunakua hatupo home (hapa sina tatizo)
Shida inakuja usiku, anapika chakula kidogo sana... yaani hata akitokea mgeni tunakosa chakumpa ili ale. Sababu yake anayotoa ni kua mgeni atoe taarifa mchana kabla hajaja ili share yake iwekwe
Anatujali tu sisi hapa wa nyumbani lakini si mkarimu kwa wageni
Ninachompendea anajua kupika sana, chakula chake kizuri
Nifanyeje abadilike?
Atakunywa juice au maji KWA kweliHalafu mgeni anakuja mida ya saa 6 mchana [emoji23][emoji23][emoji23]
Yupo dada wa kazi hapa home,
Chai anaiva wote tukishatoka kwenda kwenye majukumu huko, na anaamka mapema kabisa saa 12, tukirudi jioni tunaikuta kwenye chupa
Mchana hapiki kwasababu sote tunakua hatupo home (hapa sina tatizo)
Shida inakuja usiku, anapika chakula kidogo sana... yaani hata akitokea mgeni tunakosa chakumpa ili ale. Sababu yake anayotoa ni kua mgeni atoe taarifa mchana kabla hajaja ili share yake iwekwe
Anatujali tu sisi hapa wa nyumbani lakini si mkarimu kwa wageni
Ninachompendea anajua kupika sana, chakula chake kizuri
Nifanyeje abadilike?
Nyie sindowatafutaji mwambie awe anapika kiasi mnachotaka nyinyi sio anachotaka yeye. I hope atasawazisha kipimoYupo dada wa kazi hapa home,
Chai anaiva wote tukishatoka kwenda kwenye majukumu huko, na anaamka mapema kabisa saa 12, tukirudi jioni tunaikuta kwenye chupa
Mchana hapiki kwasababu sote tunakua hatupo home (hapa sina tatizo)
Shida inakuja usiku, anapika chakula kidogo sana... yaani hata akitokea mgeni tunakosa chakumpa ili ale. Sababu yake anayotoa ni kua mgeni atoe taarifa mchana kabla hajaja ili share yake iwekwe
Anatujali tu sisi hapa wa nyumbani lakini si mkarimu kwa wageni
Ninachompendea anajua kupika sana, chakula chake kizuri
Nifanyeje abadilike?
Mkija kijijini tunawopokea vizuri sana hatuna hayo masimango na hamji hata na kitu bora sie tunawabebea mahindi, mchele kutoka kijijini na cha kusikitisha mnatuuliza tunaondoka liniYUKO vzr BINTI SASA wageni wa kuja kuja tu kama chafya wakome mjini hapa na akipika kingi lazima kitabaki ILI asbuh akile kipolo mtoto wa watu MWISHO wa siku awe na kitambi kama madancer wa twanga pepeta
Mpimie CHAKULA Cha kupikaYupo dada wa kazi hapa home,
Chai anaiva wote tukishatoka kwenda kwenye majukumu huko, na anaamka mapema kabisa saa 12, tukirudi jioni tunaikuta kwenye chupa
Mchana hapiki kwasababu sote tunakua hatupo home (hapa sina tatizo)
Shida inakuja usiku, anapika chakula kidogo sana... yaani hata akitokea mgeni tunakosa chakumpa ili ale. Sababu yake anayotoa ni kua mgeni atoe taarifa mchana kabla hajaja ili share yake iwekwe
Anatujali tu sisi hapa wa nyumbani lakini si mkarimu kwa wageni
Ninachompendea anajua kupika sana, chakula chake kizuri
Nifanyeje abadilike?
Wewe mtoto nakutafuta kama shilingiPlease don't tell us that you're her boss.
[emoji23]uyo dada safi sana natamani wife ajifunze kwake
maana anapikia ukoo familia ya watu 4
nshaongea nmechoka
na kiporo uwa halagii nakomaa nacho ,,,,,[emoji3][emoji3]
Acheni uchoyoHalafu mgeni anakuja mida ya saa 6 mchana [emoji23][emoji23][emoji23]