Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
We ndio baba/mama mwenye mji/nyumba au ni mtoto wa familia?!Yupo dada wa kazi hapa home,
Chai anaiva wote tukishatoka kwenda kwenye majukumu huko, na anaamka mapema kabisa saa 12, tukirudi jioni tunaikuta kwenye chupa
Mchana hapiki kwasababu sote tunakua hatupo home (hapa sina tatizo)
Shida inakuja usiku, anapika chakula kidogo sana... yaani hata akitokea mgeni tunakosa chakumpa ili ale. Sababu yake anayotoa ni kua mgeni atoe taarifa mchana kabla hajaja ili share yake iwekwe
Anatujali tu sisi hapa wa nyumbani lakini si mkarimu kwa wageni
Ninachompendea anajua kupika sana, chakula chake kizuri
Nifanyeje abadilike?
Huyo jamaa kanyimwa k, hilo la vyakula ni visingizio tuSafibanawafanyisha diet sio kula miwanga kibao usiku ndo kukaribisha miribatumbo
Dada wa kazi muelekeze mkiwa wawili chumbani, aache uchoyo, naamini atakusikia mkuuYupo dada wa kazi hapa home,
Chai anaiva wote tukishatoka kwenda kwenye majukumu huko, na anaamka mapema kabisa saa 12, tukirudi jioni tunaikuta kwenye chupa
Mchana hapiki kwasababu sote tunakua hatupo home (hapa sina tatizo)
Shida inakuja usiku, anapika chakula kidogo sana... yaani hata akitokea mgeni tunakosa chakumpa ili ale. Sababu yake anayotoa ni kua mgeni atoe taarifa mchana kabla hajaja ili share yake iwekwe
Anatujali tu sisi hapa wa nyumbani lakini si mkarimu kwa wageni
Ninachompendea anajua kupika sana, chakula chake kizuri
Nifanyeje abadilike?
Ukimpa taarifa kuna mgeni ana shida?Yupo dada wa kazi hapa home,
Chai anaiva wote tukishatoka kwenda kwenye majukumu huko, na anaamka mapema kabisa saa 12, tukirudi jioni tunaikuta kwenye chupa
Mchana hapiki kwasababu sote tunakua hatupo home (hapa sina tatizo)
Shida inakuja usiku, anapika chakula kidogo sana... yaani hata akitokea mgeni tunakosa chakumpa ili ale. Sababu yake anayotoa ni kua mgeni atoe taarifa mchana kabla hajaja ili share yake iwekwe
Anatujali tu sisi hapa wa nyumbani lakini si mkarimu kwa wageni
Ninachompendea anajua kupika sana, chakula chake kizuri
Nifanyeje abadilike?
Kwani wewe ni mtu wakutegemea wageni kila wakati, mimi sioni tatizo hapo na uzuri amekuambia utoe taarifa ili na cha mgeni kiwepo, utapata wapi binti kama huyo [emoji1787][emoji1787]Yupo dada wa kazi hapa home,
Chai anaiva wote tukishatoka kwenda kwenye majukumu huko, na anaamka mapema kabisa saa 12, tukirudi jioni tunaikuta kwenye chupa
Mchana hapiki kwasababu sote tunakua hatupo home (hapa sina tatizo)
Shida inakuja usiku, anapika chakula kidogo sana... yaani hata akitokea mgeni tunakosa chakumpa ili ale. Sababu yake anayotoa ni kua mgeni atoe taarifa mchana kabla hajaja ili share yake iwekwe
Anatujali tu sisi hapa wa nyumbani lakini si mkarimu kwa wageni
Ninachompendea anajua kupika sana, chakula chake kizuri
Nifanyeje abadilike?
Hama. Tafuta geto buza au wapi kule ujitegemeeYupo dada wa kazi hapa home,
Chai anaiva wote tukishatoka kwenda kwenye majukumu huko, na anaamka mapema kabisa saa 12, tukirudi jioni tunaikuta kwenye chupa
Mchana hapiki kwasababu sote tunakua hatupo home (hapa sina tatizo)
Shida inakuja usiku, anapika chakula kidogo sana... yaani hata akitokea mgeni tunakosa chakumpa ili ale. Sababu yake anayotoa ni kua mgeni atoe taarifa mchana kabla hajaja ili share yake iwekwe
Anatujali tu sisi hapa wa nyumbani lakini si mkarimu kwa wageni
Ninachompendea anajua kupika sana, chakula chake kizuri
Nifanyeje abadilike?
Ila mkuu una fail sana big time unamlaumu kwa lipi hapo? Angekua anawanyima chakula ningekulewa sasa uchoyo wake upo wapi kupika kwa idadi ya familia aisehhh nimekushangaaYupo dada wa kazi hapa home,
Chai anaiva wote tukishatoka kwenda kwenye majukumu huko, na anaamka mapema kabisa saa 12, tukirudi jioni tunaikuta kwenye chupa
Mchana hapiki kwasababu sote tunakua hatupo home (hapa sina tatizo)
Shida inakuja usiku, anapika chakula kidogo sana... yaani hata akitokea mgeni tunakosa chakumpa ili ale. Sababu yake anayotoa ni kua mgeni atoe taarifa mchana kabla hajaja ili share yake iwekwe
Anatujali tu sisi hapa wa nyumbani lakini si mkarimu kwa wageni
Ninachompendea anajua kupika sana, chakula chake kizuri
Nifanyeje abadilike?
Umembamiza vizuriHuwez kujua umuhimu wa anacho fanya Kama unafugwa maana mifugo mfano ng'ombe huwa inawaza tu kula ikiletewa majani haiwazi kuacha akiba ya kesho
Ohooo!! Kuna kijakazi anawindwa hapa.Hivi karibuni nimekuwa nasikia Raha housegirl akinipakulia chakula