Dada wa kazi ni mchoyo sana, nifanyeje?

Dada wa kazi ni mchoyo sana, nifanyeje?

uyo dada safi sana natamani wife ajifunze kwake

maana anapikia ukoo familia ya watu 4

nshaongea nmechoka

na kiporo uwa halagii nakomaa nacho ,,,,,[emoji3][emoji3]
Wako anafanana na wangu tu nimesema Hadi saiv nimechoka. Anapika chakula kama tuko 10 kumbe watatu tu
 
Halafu mgeni anakuja mida ya saa 6 mchana [emoji23][emoji23][emoji23]
Kwa kweli hata mimi huwa sipendi kurudi mara 2 jikoni.
Mtu kama anakuja ni heri kutoa taarifa.

Mimi mwenyewe huwa siendi Kwa watu mida ya kula tena bila taarifa,,kupeana kazi bila mpango.
 
Yupo dada wa kazi hapa home,

Chai anaiva wote tukishatoka kwenda kwenye majukumu huko, na anaamka mapema kabisa saa 12, tukirudi jioni tunaikuta kwenye chupa

Mchana hapiki kwasababu sote tunakua hatupo home (hapa sina tatizo)

Shida inakuja usiku, anapika chakula kidogo sana... yaani hata akitokea mgeni tunakosa chakumpa ili ale. Sababu yake anayotoa ni kua mgeni atoe taarifa mchana kabla hajaja ili share yake iwekwe

Anatujali tu sisi hapa wa nyumbani lakini si mkarimu kwa wageni

Ninachompendea anajua kupika sana, chakula chake kizuri

Nifanyeje abadilike?
Naomba number zake nione!
 
Haya mambo mwambie mume au mke wa hiyo familia. Wewe shemeji yake mke au mume unakuja kulalamika huku kama bwege. Waambie wanaokulisha hapo nyumbani wakusaidie. Ila nawe umri huu kajitahidi upate ajira siyo kulala kwa shemejio mnaolewa ukoo wote?


Yupo dada wa kazi hapa home,

Chai anaiva wote tukishatoka kwenda kwenye majukumu huko, na anaamka mapema kabisa saa 12, tukirudi jioni tunaikuta kwenye chupa

Mchana hapiki kwasababu sote tunakua hatupo home (hapa sina tatizo)

Shida inakuja usiku, anapika chakula kidogo sana... yaani hata akitokea mgeni tunakosa chakumpa ili ale. Sababu yake anayotoa ni kua mgeni atoe taarifa mchana kabla hajaja ili share yake iwekwe

Anatujali tu sisi hapa wa nyumbani lakini si mkarimu kwa wageni

Ninachompendea anajua kupika sana, chakula chake kizuri

Nifanyeje abadilike?
 
Yupo dada wa kazi hapa home,

Chai anaiva wote tukishatoka kwenda kwenye majukumu huko, na anaamka mapema kabisa saa 12, tukirudi jioni tunaikuta kwenye chupa

Mchana hapiki kwasababu sote tunakua hatupo home (hapa sina tatizo)

Shida inakuja usiku, anapika chakula kidogo sana... yaani hata akitokea mgeni tunakosa chakumpa ili ale. Sababu yake anayotoa ni kua mgeni atoe taarifa mchana kabla hajaja ili share yake iwekwe

Anatujali tu sisi hapa wa nyumbani lakini si mkarimu kwa wageni

Ninachompendea anajua kupika sana, chakula chake kizuri

Nifanyeje abadilike?
😀😀😀

Ndugu unazunguuka mbuyu au sio

Tumeelewa unachomaansha.
 
Back
Top Bottom