Huyu itakua anaishi kwa shemej hapo...hana saut wala mamlakaPlease don't tells us that you're her boss.
Of course he is,say something!Please don't tells us that you're her boss.
Bro ungeandika kwa kiswahili tu. 'tells us ' ndo kitu ganiPlease don't tells us that you're her boss.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]ni kweli maana wageni wengine wanakuja ghafla tu kama chafya na wanataka wale sijui wanadhani kupika ni starehe[emoji849]Piga chini huyo anakupanda kichwani. [emoji3] [emoji3]
Ila hata mimi ukijakwangu bila taarifa utakunywa glasi ya juice na maji tu,maana ndio havikosekani kwenye friji. Kuhusu msosi utanisamehe kidogo.
Siwezi kula chini ya kiwango changu eti kwasababu umekuja bila taarifa, alafu ushee na mimi shea yanu, NOP.
Halafu mgeni anakuja mida ya saa 6 mchana [emoji23][emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji1787]ni kweli maana wageni wengine wanakuja ghafla tu kama chafya na wanataka wale sijui wanadhani kupika ni starehe[emoji849]