Yasir alafati
Senior Member
- Jul 23, 2021
- 121
- 97
Wako anafanana na wangu tu nimesema Hadi saiv nimechoka. Anapika chakula kama tuko 10 kumbe watatu tuuyo dada safi sana natamani wife ajifunze kwake
maana anapikia ukoo familia ya watu 4
nshaongea nmechoka
na kiporo uwa halagii nakomaa nacho ,,,,,[emoji3][emoji3]
Hahaa dalili ya uzinzi . hahaaaaaa just jokes mkuuHivi karibuni nimekuwa nasikia Raha housegirl akinipakulia chakula
Kwa kweli hata mimi huwa sipendi kurudi mara 2 jikoni.Halafu mgeni anakuja mida ya saa 6 mchana [emoji23][emoji23][emoji23]
Naomba number zake nione!Yupo dada wa kazi hapa home,
Chai anaiva wote tukishatoka kwenda kwenye majukumu huko, na anaamka mapema kabisa saa 12, tukirudi jioni tunaikuta kwenye chupa
Mchana hapiki kwasababu sote tunakua hatupo home (hapa sina tatizo)
Shida inakuja usiku, anapika chakula kidogo sana... yaani hata akitokea mgeni tunakosa chakumpa ili ale. Sababu yake anayotoa ni kua mgeni atoe taarifa mchana kabla hajaja ili share yake iwekwe
Anatujali tu sisi hapa wa nyumbani lakini si mkarimu kwa wageni
Ninachompendea anajua kupika sana, chakula chake kizuri
Nifanyeje abadilike?
Kuna watu wamezoea kufanya israfuAnajali uchumi wenu. Anapika kinachowatosha mnataka kibaki ili muanze, oh dada utakula kiporo basi...
Wewe jamaa hiiiiiiiii!ππππ Kiswahili kilienda na BAKITAmgeni akija atoe taarifa
Yupo dada wa kazi hapa home,
Chai anaiva wote tukishatoka kwenda kwenye majukumu huko, na anaamka mapema kabisa saa 12, tukirudi jioni tunaikuta kwenye chupa
Mchana hapiki kwasababu sote tunakua hatupo home (hapa sina tatizo)
Shida inakuja usiku, anapika chakula kidogo sana... yaani hata akitokea mgeni tunakosa chakumpa ili ale. Sababu yake anayotoa ni kua mgeni atoe taarifa mchana kabla hajaja ili share yake iwekwe
Anatujali tu sisi hapa wa nyumbani lakini si mkarimu kwa wageni
Ninachompendea anajua kupika sana, chakula chake kizuri
Nifanyeje abadilike?
πππYupo dada wa kazi hapa home,
Chai anaiva wote tukishatoka kwenda kwenye majukumu huko, na anaamka mapema kabisa saa 12, tukirudi jioni tunaikuta kwenye chupa
Mchana hapiki kwasababu sote tunakua hatupo home (hapa sina tatizo)
Shida inakuja usiku, anapika chakula kidogo sana... yaani hata akitokea mgeni tunakosa chakumpa ili ale. Sababu yake anayotoa ni kua mgeni atoe taarifa mchana kabla hajaja ili share yake iwekwe
Anatujali tu sisi hapa wa nyumbani lakini si mkarimu kwa wageni
Ninachompendea anajua kupika sana, chakula chake kizuri
Nifanyeje abadilike?
Mwanaume suruali huyo.......don't stretch your brain muscles unnecessarily.Najaribu kukuelewa mkuu