M2WAWA2
JF-Expert Member
- Aug 15, 2014
- 3,285
- 5,598
Sura na umbile viko pouwa sana. Akili ndio hamnaHalafu wazuri kishenzii!
Wamerithi kwa mama yao
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sura na umbile viko pouwa sana. Akili ndio hamnaHalafu wazuri kishenzii!
Wamerithi kwa mama yao
Heeeeh heeeeh wewe, si kikao cha mwisho tulikubaliana fursa sawa kwa wote, iweje kwenye utapeli mtuachie wanaume fursa zote hizi za utapeli zimejaa na tumewatengea viti maalumu huku?Wanawake ifike mahali mjue nyie ni wasaidizi na hamkutumwa kutafuta kwa jasho...
Akitoka hapo ni bibi wa miaka 50+ duuuh.Money laundering marekani ni serious case. Siyo chini ya miaka 20 jela. Tumuombeeni jamani.
Nilitaka kushangaa wema sepetu yeye mwenyewe yupo kwenye hiyo hiyo 36 au 37 iweje awe na dada halafu wanashare umri m'moja?Kwanza huyu ni mdogo wake sio dadake. Inasemekana huyu ni punda wa .muda mrefu sana na anatumiwa na Wema kusafirisha sembe duniani kote.
Utakufa kweli maskini, shauri zakoBora nibaki maskini kuliko kufanya biashara haramu!!
Mbaya zaidi ni kwamba ukishaingia huko, theres no coming outThe risk to try getting off povery is always terrible. Ndio maana si kila mtu anaweza ila niamini mimi, shida ikikubana ukakamatika, thinking is never twice anymore,only once then you go for it.
Never ever mzee..mambo haya bwana, sometimes tu unaamua kuyaacha kama yalivyo ukimuona mtu kaingia huko kanatwa bas unaona bora usiongee sana. Angekua na namna nyingine asingethubutu may be.Mbaya zaidi ni kwamba ukishaingia huko, theres no coming out
Hapa unaonekana Shujaa . Inapigwa kijifaini Cha kuzuga maisha yanaendelea.Eeeh kesi ya uhujumu uchumi, Texas hizi case omba zikupitie mbali kwa huko.
tumuombee nini? we mpumbavu nini?Money laundering marekani ni serious case. Siyo chini ya miaka 20 jela. Tumuombeeni jamani.
Wanaija ndiyo huwaingizaga hukoTamaa..
Iwe fundisho kwa wapenda mtelemko na machawa wote
Nasikia Texas ni moja ya jimbo. Lenye sheria kali sanaEeeh kesi ya uhujumu uchumi, Texas hizi case omba zikupitie mbali kwa huko.
Ningesema utaweza pia, usijaze negativityIla ningesema nitakua tajiri kama Elon, Dangote, Bakhresa ungesema najimwambafai!!
Tulia....
Mzee Sepetu alijua kuchagua majina aiseee wema sunna