Dada wa Wema Sepetu akutwa na hatia ya utakatishaji fedha Marekani

Aise basi kanasa sahvi

Wamuombe mama awaombee wamtoe πŸ˜„

Ova

Hawana Jinsi zaidi ya kujaribu kutumia hio njia, Huyu Demu mda sana alijichanganya na wanigeria na Wajamaica, ni mtu wa vurugu sana, nakumbuka kama sikosei aliwahi kuolewa na jamaa wakipemba ila jamaa mwisho aliinua mikono juu.
Familia yao ni watu watulivu tu isipokua yeye na huyu mwenziwe wa Bongo Movie. wengi kule zenj wana nafasi kwenye serikali, na waliopo nje wanaishi simple life.
 
Pole zake, lakini pia japo haijulikani undani ilikuwaje mpaka akifika hapo. Dont involve yourself na wa nigeria, hawa ni world wide known scammers
Aisee kuna kampuni nilifanya kazi
Baada ya miezi 3 tu nikawa promoted
Kuna mnaijeria alifanya hapo miaka 5 akaniambia umekuja jana tu unaaminiwa kuingia humo
Nilipata access ya kuingia kwenye cage moja yenye camera 8 na mzigo uliokuwa humo mimi na jamaa wazungu wawili ndio tunaidhinisha na kuorodhesha

Mnaijeria akaniambia tupate utajiri wa haraka haraka na ni easy
Kabla hajamaliza maneno nikamkata kauli na kumwambia sifanyi ujinga huo hata siku moja
That's why they trusted me
Ila alikuwa muelewa na kunipa amani

Hawa jamaa sio watu kabisa wanawaza wizi tu yaani wabongo wanaachwa mbali sana πŸ˜„ 🀣
 
Na huko Hakuna Cha connection ya Judge πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…