Dada zangu kwanini mnawapenda wanaume wahuni?

Wanawake wanapenda ngono za rough, mixer kuchaniwa bikini. Kwahiyo fantasies zao ziko kwa wanaume wahuni..

Which means wahuni wanapeleka moto kihuni kweli kweli....

Wewe na likitambi lako kutwa kuchomekea mashati ati unajiita gentleman....
 
 
Wahuni wa kweli ni wapole kama nyoka....🤣
Hapo ninapokaa kuna washikaji wanafeki sn maisha,mara wakale chakula mlimani city.kuna bar hapo kijichi turn up,kingazi na gateway kila siku wanabadilisha Tu utadhani sungusungu wanafanya doria.Juzi Tu hapo demu wa mshikaji kaja kuniomba nimtafutie kazi bwanake,nikamjibu bwanako mwenyewe laini Yule ataweza kazi ya ukuli bandari? Akajibu aka mume wangu hapendi kazi ngumu,nikamwambia haya endeleeni maisha yenu ya show off me muhuni sina habari wala nn

Wana hawana maisha lakini wanajitutumua sn..washikaji laini Kama wale madogo wa bongo Flava wa kuitwa mabantu🤣

Kila nikijilazimisha kwenye kampani zao tunakuwa mafuta na maji..sipendi kufeki maisha kbs
miss pablo km vp nipe mdogo wako atafurahi 🤣
 
Kikubwa uzima. uwe muhuni usiwe muhuni, kwa kifupi ishi maisha yako
 
Kila mtu atapata wa kufanana nae, isitokee mtu yoyote akabadili mfumo na utaratibu wa maisha yake kwa comments za wadau. Kiufupi mm nilishapitia maisha Fulani kitambo hicho mpaka ikafika stage ukifagia ghetto ukachoma ule uchafu unafuka Moshi wa Jamaica tu. Lakini ndiyo kipindi nilikua hadi napanga ratiba ya Jane aje kesho Mwajuma keshokutwa Batuli wiki ijayo.Lakini siku za hivi karibuni baada ya kubadili muenendo wa maisha kiujumla nimekuwa mbwa mzee sibweki kabisa yani kifupi sina makali. Kutongoza na kufukuzia demu najionea shida tu.
 
🤣🤣🤣Feki feki life hao ...laini laini hao......
 
Ndio wale wavaa vipensi na virasta rasta au wafunga ndevu 😅
 
😂😂😂 Gangsta moves
 
Hili ndio jibu...pia msela Hana wivu...
 
Vijana nunuen cardet na safari buti ile imeandikwa Bata
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…