Jumbe Brown
JF-Expert Member
- Jun 23, 2020
- 12,077
- 12,786
🤣🤣🤣Nyt nyt miss.....ha ha haGoodnaitini mahardcore wotee.. Muote ndoto njema.
Kwa my zangu muote ndoto mbaya mbaya mpk mujifunze uhuni kidogo ama muendelee kutuma huduma vigangoniView attachment 2021405
Sent from my SM-G960U using JamiiForums mobile app
Kalaga bahooo. 😁😁😁😁😁Kimsingi hawa unaowaita wahuni, ndo wanajua kuwapelekea moto mademu zako...
We endelea kugusagusa.. Wakati hao unaowaita wahuni wao wanafanya kweli.....
Kalaghabaho.....
Sent from my TECNO LA7 using JamiiForums mobile app
Wahuni wa kweli ni wapole kama nyoka....🤣Mimi ni kijana mpole Ila Niko real sn..ni muhuni Fulani hivi ambaye sijawa certified bado kwenye chama la wahuni
Sent from my CPH1923 using JamiiForums mobile app
Ndio ni keWw jinsia ya ke?
Sasa kama wako accepted na wanawake Bado utawaita wahuni?Ni kitendo cha kufanya vitu un acceptable kwa jamii inayokuzunguka
Mnachoshindwa kuelewa wanaume wenzangu mwanamke hupenda mwanaume anajiamini
Na hao watu wana sifa hizo
Hiyi imewahi nitokea mimi na usmat wangu nikajua manzi atakaa we bwana kilichonikuta nililiwa pesa mpaka akili ikakaa sawa
Akaja muhun mmoja hivi kuokoa jahazi wacha amkaze bure bure na akawa anapendwa kichizi
Aswee mbona nilibadilika saiv sisemi dada samahani nina shida
saivi ni mwendo wa ubabe we binti njoo hapa hebu tia namba yako hapa fanya Fasta kuna sehemu nawah maelezo baadae. Kifupi haka ka staili kamenifanya niwale kichizi
Ushauri wangu ni mwanaume jiamini igeni kwa wenzetu kina sokwe.[emoji205][emoji205] dume hustaili kulia lia kama kitoto cha chura haya mambo tuwaachia wanaume wa dar zile chips kwenye yale mayai kuna dawa inaitwa legeza kwa hy ukila lazima ulegeze View attachment 2021400
Hapo ninapokaa kuna washikaji wanafeki sn maisha,mara wakale chakula mlimani city.kuna bar hapo kijichi turn up,kingazi na gateway kila siku wanabadilisha Tu utadhani sungusungu wanafanya doria.Juzi Tu hapo demu wa mshikaji kaja kuniomba nimtafutie kazi bwanake,nikamjibu bwanako mwenyewe laini Yule ataweza kazi ya ukuli bandari? Akajibu aka mume wangu hapendi kazi ngumu,nikamwambia haya endeleeni maisha yenu ya show off me muhuni sina habari wala nnWahuni wa kweli ni wapole kama nyoka....🤣
Kikubwa uzima. uwe muhuni usiwe muhuni, kwa kifupi ishi maisha yakoWakuu kuna kitu kinanishangaza sana kuhusu hawa dada zetu mbona hawaeleweki?
Kuna mwanangu mmoja hana muonekano hana hela ila ni muhuni anavuta sigara lakini wanawake wanampenda mno awala sana yaani ghetto kwake mezani amepanga sigara.
Halafu kuna siku alimleta demu akampiga baadae aakaanza kuvuta sigara mbele ya demu lakini demu mkali akawa anacheka cheka hadi leo kamganda jamaa,
Dada zangu kwanini mnawapenda wanaume wahuni?
Yeye ni "mtanashati", anashangaa kwanini jamaa hajiweki vizuri kimuonekano na bado ana pata warembo?Unaposema jamaa hana muonekano una maana gani?? Huo muonekano hana kwako au kwa nanani??
Hapana sio mimiWewe ndiye yule Kenny aliyesema amekopeshwa elfu kumi na mhindi akashindwa kuilipa badala yake akakumega?
🤣🤣🤣Feki feki life hao ...laini laini hao......Hapo ninapokaa kuna washikaji wanafeki sn maisha,mara wakale chakula mlimani city.kuna bar hapo kijichi turn up,kingazi na gateway kila siku wanabadilisha Tu utadhani sungusungu wanafanya doria.Juzi Tu hapo demu wa mshikaji kaja kuniomba nimtafutie kazi bwanake,nikamjibu bwanako mwenyewe laini Yule ataweza kazi ya ukuli bandari? Akajibu aka mume wangu hapendi kazi ngumu,nikamwambia haya endeleeni maisha yenu ya show off me muhuni sina habari wala nn
Wana hawana maisha lakini wanajitutumua sn..washikaji laini Kama wale madogo wa bongo Flava wa kuitwa mabantu🤣
Kila nikijilazimisha kwenye kampani zao tunakuwa mafuta na maji..sipendi kufeki maisha kbs
miss pablo km vp nipe mdogo wako atafurahi 🤣
Ndio wale wavaa vipensi na virasta rasta au wafunga ndevu 😅Hapo ninapokaa kuna washikaji wanafeki sn maisha,mara wakale chakula mlimani city.kuna bar hapo kijichi turn up,kingazi na gateway kila siku wanabadilisha Tu utadhani sungusungu wanafanya doria.Juzi Tu hapo demu wa mshikaji kaja kuniomba nimtafutie kazi bwanake,nikamjibu bwanako mwenyewe laini Yule ataweza kazi ya ukuli bandari? Akajibu aka mume wangu hapendi kazi ngumu,nikamwambia haya endeleeni maisha yenu ya show off me muhuni sina habari wala nn
Wana hawana maisha lakini wanajitutumua sn..washikaji laini Kama wale madogo wa bongo Flava wa kuitwa mabantu🤣
Kila nikijilazimisha kwenye kampani zao tunakuwa mafuta na maji..sipendi kufeki maisha kbs
miss pablo km vp nipe mdogo wako atafurahi 🤣
😂😂😂 Gangsta movesSasa arifu mimi namuweza wapi mtoto wa mtu amepooza? I love a loving and commanding man. Yaan akiongea moyo unapiga najiambia yeeesss, ameongea mwanaume mpk chupi inalowana[emoji23][emoji23] paroko hapana. Hanifai. Huyo awe wa misa tu na jumuiya... napenda zile cuddles za kigumu with passion. Sasa mwanaume kama hana pigo za kihuni namfanyaje? Nataka hata likija kuwa libaba lakini ule uhuni uwepo[emoji23][emoji23]
Sent from my SM-G960U using JamiiForums mobile app
Hili ndio jibu...pia msela Hana wivu...Unamaanisha masela ?!!!
Kama ndivyo nianze kukujuza kuwa usela si uhalifu......usela si kuvuta ganja hadharani....usela si kuivunjia heshima jamii na watu wake ....usela si kutowajibika.....usela sio kutokuwa na utu ,haya na soni.....
Usela ni imani.....
Msela anajitambua.....
Msela hasujudii na kuwaogopa watu......
Msela hazingui wengine na mwiko kuzinguliwa......
Msela hapendi kuonea wengine.....
Katu msela hakubali kuonewa.....na yeyote yule....narudia tena katu hakubali hakubali hakubali KUONEWA.......
Msela ni mtu wa mazoezi ,torati ya kitaa inamtaka msela awe anajua sanaa za mapigano....kukichafuka huweza kujilinda na kumlinda mpenzi wake dhidi ya WAGAIGAI hata 10.......
Msela anajithamini na kujipenda Sana....Sana....mno.....
Kwa kuwa msela ANAJIPENDA basi ana hulka ya kupenda wengine kiukweli......
Msela ni ALPHA MALE na si BETA MALE.....
Msela si mtumwa wa mapenzi na hamsujudii mwanamke......
Hakika mademu WANAWAPENDA MASELA KWANI WAO SI SUBMISSIVES.....
Salaam zimfikie mwanangu EXTROVERT baharia wake NISHANYONGEA katika "zigi" jicho liko wima hapa JF.......
USELA NI IMANI KUBWA NA LANGO LA TORATI YA MITAA
#Yetzer ha-tov
#Shavua Tov
Vijana nunuen cardet na safari buti ile imeandikwa BataMleta mada ni mfilipino[emoji23][emoji23] muache azame na meli ya kigiriki. Sisi tunataka mahardcore. Kuna uhuni fulan ukanifanyia hata public poa tu[emoji23] kuna raha sana kudeka kwa hardcore. Kule huwa tunaiva sana. Halaf dress code pia napenda akivaa cardet ama jeans suruali na shati juu. Halaf kiati avae either moka ama boots za kueleweka kama safari boots etc. Ila siyo ile midosho ya american boots[emoji23][emoji23]
Sent from my SM-G960U using JamiiForums mobile app
Hao hao🤣Ndio wale wavaa vipensi na virasta rasta au wafunga ndevu 😅