Dada zetu acheni kuombaomba, mnajidhalilisha na jifunzeni kuficha njaa zenu

Naomba urushe post or comment yoyote ambayo nilishawahi kukushambulia!

Hivi we unachanganya madesa eeeh?

Hiyo Dozi imeze vizuri mama...shauri yako
 
Ila tuseme ukweli sijawahi kukusema vibaya couze basi tu naona your fair but sasa na leo tena unanisema kama hawa wengine .
 
Ndo hivo my...liko desperate kinoma, basi aheshimu umri wake!

Anaweza kutuzaa wote humu huwezi amini!

Mi nilete picha angu hapa na yy nilete ya kwake kama sio mamaangu huyu
Achana naye wit. Usikubali mtu akupumzikie. Muache aandike akichoka ataacha.
 
Wewe ndio unazo sindio so unataka kuwa kama yeye mnajiamini nini nyie ???
Kwani wewe unajiamini nini?...mbona unatishia watu?

We ungekuwa na akili ungechukua positive hints zetu ukatafakari then ungepata majibu kuwa tuna nia njema na wewe!

Unakurupuka tu hata kama desperate sio kihivo asee
 
Wakukuoa naye utamtoa wapi? Sikuizi hatuoi tunakula nakusepaaaa
 
Naomba urushe post or comment yoyote ambayo nilishawahi kukushambulia!

Hivi we unachanganya madesa eeeh?

Hiyo Dozi imeze vizuri mama...shauri yako
Kila siku nasema true yaani unaongea vizuri later unanipa madongo kama nini ndio nataka kujua why zamani nilikuwa sitaki kurudia mitihani so na nyamaza now nipo free nataka kujua why uko hivi.
Nikianza kukupa tutakesha ni nyingi comment wewe jua hujawahi kuongea jema lolote nani kamuambia nimepata mzungu .
Ukweli naujua mi mwenyewe ndio maana sitaki tena ni pewe maneno y karaha humu mimi nimtu mzima sasa nahitaji respect
 
Heshimuni watu na nyie muheshimiwe sio mmenye watu tu.
Mimi nimechoka kila mtu akitaka atoe stress zake katoto kazuri.
Dah nanini mimi?
Unajistukia tu mpendwa.....nikuhakikishie hakuna anayekuchukia humu! Bali unajichukia wewe mwenyewe!

Narudia soma point za wadau humu kukuhusu ubadilike!... Uache kuota!
 
ahsante kwa ushauri
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…