katoto kazuri
JF-Expert Member
- Feb 10, 2018
- 6,124
- 5,745
Kwa sababu ya kutoheshimu mtu eti achana naye huyo ni hamnazo wewe unazo kwa hiyo unajua mtu mnamuona waaina fulani kisa nyie mnajua nini dada acha dharau ipo siku dharau hiyo itakubebesha msalaba usioweza kuutuwa kisa unamadharau sijakosa mume mtaani ujue .Amehamia kwangu
Tatizo anaaattack watu ovyo ovyo au ndio ajisemee yna2 kuwa ni attention seeker?Kibaya nikusingizie na kuna mahali uliniona nakusema??? Tafadhali usinibandike mizigo yangu mwenyewe siiwez natafta wa kumtwisha,jaribu kubadilika katoto sawa?
Ulienda arusha ukata mwanaume jana nikaona uzi upo mwanza unataka mwanaume...halafu unataka kuolewa JF?
Uchi huo huo mmoja?!
NakaziaAbadilike kwakweli
Jana alinijibu kitu sikukielewa nikahisi nna usingizi, nilivyoamka nikarudia kukisoma bado sikuelewa anamaanisha nini. Stress mbaya sana asieeSimuelewi shoga angu kama watu tu humu wanavyosema huwa uandishi wake una makengeza[emoji102] ....sema namuonea huruma mweeh!
halafu mtu anapokuambia madhaifu yako au makosa yako faham anakupenda anataka ubadilike mwenzetu haelewi hivoTatizo anaaattack watu ovyo ovyo au ndio ajisemee yna2 kuwa ni attention seeker?
Kwakweli[emoji23]niliwah kumwamabia na jina abadili
Ishu ya kuombwa hela nadhani kina kaka kwa sasa mnaongoza jamani, mimi mpaka nimeamua mapenzi basi mnapiga vibomu mnooo mpaka unajiuliza huyu mpenzi au marioo, kwakweli mnakera.
Heshima haiji bure kama wewe mwenyewe haujaitengenezaWewe ulisema nipunguze utoto nimekuwa nasasa nahitaji heshima mtu akikoment awe kama wewe shida iko wapi ?
Unakuta mtu ni mwanaume ana 40 years old anamtukana mtu 20 something kama kauwa mtu kwanini wasiwe wapole .
Mimi nimtu mzima sasa nakweli nahitaji respect.
Akihitaji kusamehewa!...maaanaAsamehewe bure..
Ni yuleee....umekumbuka sasa?![emoji23] [emoji23] [emoji85] [emoji85]
Chaguo ni lako mzee baba either uhonge ama ukapige nyeto. Tutafute hela wazee sio kulialia tuuu . Wanawake ni mapambo kwetu lazma tuwabembeleza na kuwapatia mahitaji kama tunavyofanya kwa watoto wetu.
Ila wity kwa hilo ta...ko ukiniomba hela nakupa tu. Ila andika vitu vyooote kwenye invoice moja hahahahaaaaHaeleweki kabisa...its like kuna kitu kibaya kafanyiwa na wanaume wa humu!...maana comments zake naonaga shutuma tu...anataka wanaume wa nje[emoji23] [emoji23]
Haaahaaaa....mgazeti wa mwananchi[emoji23] [emoji23] [emoji23][emoji23][emoji23]
Asinichoshe mie ..kwanza siwezagi andika magazeti kama yake
Heshima waanze wao ukitaka kwenda kupumzika unakuta mtu amekukera kwa jambo fulani.Ukiwa unataka kubadilika utaanza wewe ndani yako kisha matendo ya nje hufata
Wasema umebadilika but bado uko vile vilr niseme tu sasa hivi ndio inekua too much,mara utuage mara uje hivi mara vile hueleweki tukushikeje hua najaribu kukuelewa ila nashindwa ukijiheshim utaheshimiwa.
Kwakweli[emoji23]
Nikukanushe hapo kwenye mchumba...sina mchumba humu my dear..na kama unahisi nimekuambia hamnazo sababu nahisi unanichukulia mchumba humu...umechemkaKwa sababu ya kutoheshimu mtu eti achana naye huyo ni hamnazo wewe unazo kwa hiyo unajua mtu mnamuona waaina fulani kisa nyie mnajua nini dada acha dharau ipo siku dharau hiyo itakubebesha msalaba usioweza kuutuwa kisa unamadharau sijakosa mume mtaani ujue .
So usidhani humu ndio nimehamia wachumba zenu humu wapo tu sina time now.
Jana kaaga na kaapa harudi nashangaa leo namuona online akijibu hoja. Hahaaaaa watu na stress zao ni shidaaaa[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]halafu naona wanasema kila siku anaaga. Kumbe ni muagaji maarufu na haondoki