Dada zetu acheni kuombaomba, mnajidhalilisha na jifunzeni kuficha njaa zenu

Mmmh. 😳😳😳😳
 
Dada andika Tanzania sio tanzania,kuwa mzalendo eti acha dharau pia
 
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] duh
 
Kila siku unasema unaondoka JF lakini huondoki.
 
Una tatizo
 
Mara ya ngapi unaaga??
 
Wanawake aina yako ni wa kuhesabu na wachache. Binafsi huwa nakukubali sababu ww ni ile asilimia moja ambayo iko mjini. Wengime waliobaki ni wadangaji na njaa mpala kwenye kucha
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…