Dada zetu acheni kuombaomba, mnajidhalilisha na jifunzeni kuficha njaa zenu

I love u
 
Usijal nakuaminia.

Humu tuko kubadilishana mawazo hata mim wa JF na wa nyuma ya keyboard ni tofauti sana[emoji23] [emoji23] [emoji23]
Kuuuumbe?[emoji23] [emoji23] ...basi we mujanja[emoji122]

Haahaa kuna watu huwa mindset zao sijui vip? Anakukariri nyuma ya keyboard na kwamba ndo real yako kitaa! ajabu sana
 
Acha kupaniki mrembo,wala hajamanisha hivyo,ni bora wewe una mawazo chanya,nyie ndo ninaowapenda,hongera sana
 
Kuuuumbe?[emoji23] [emoji23] ...basi we mujanja[emoji122]

Haahaa kuna watu huwa mindset zao sijui vip? Anakukariri nyuma ya keyboard na kwamba ndo real yako kitaa! ajabu sana
Lakini unajua nin my dear.

Vyovyote utakavyojifanya kua tofauti katika mahala fulani na uhalisia wako ulivyo utajulikana tu japo kidogo wew ni mtu wa tabia flani.
 
Nilihisi nakufananisha Jirani baada ya kuchanhe Avatar

Haya Shikamoo! πŸ™ˆπŸ™ˆ

πŸ’ƒπŸ’ƒπŸ’ƒπŸ’ƒπŸ’ƒ
 
Na ww uwe freshi kweli kweli,ila mi napenda sana nchi yangu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…