I love uMkuuu wanaume ni PAYABLE in nature while wanawake ni RECEIVABLE in nature haijalishi ana hela au hana.. Akijisikia atafanya hivyo. So kwasisi wanaume ni shurti kupambana kujaza videbe vyetu ili mwisho wa siku tuweze kuwaservice hawa viumbe. Ukiona bado pagumu labda upambane huku ukiamini kuna zali la mentali[emoji23].
Ahsante mkuu umesupport hii comment.Hahahaha, mkuu hapa tupo pamoja
Sana yaani. Mie kila siku najiona naongeza kitu kichwani nikiingia humu.Kabisa hii different perceptions ya humu inakujenga sana mtu...
Kuuuumbe?[emoji23] [emoji23] ...basi we mujanja[emoji122]Usijal nakuaminia.
Humu tuko kubadilishana mawazo hata mim wa JF na wa nyuma ya keyboard ni tofauti sana[emoji23] [emoji23] [emoji23]
Hahahaha, vzr pia km hayuko hivyoAhsante mkuu umesupport hii comment.
Wite J amesema yeye hayuko hvyo kabisa.
Hahahaaa. LolHahahaha, mkuu hapa tupo pamoja
Walaaa jamani, mnajistukia tuHahahaha, mkuu hapa tupo pamoja
Tujiuze wapi kwanani mnadhani kila mtu anawaza kuliwa na malala haoi kanyie kunawadada kama sisi tunajituma nakila tulichonacho wanaume hawawezi kutununua hata waje na nini so usituweke pamoja nahao mnao wapa elfu kumi halafu mnajiona nikwakila mdada .
Dhamani yangu ndio maisha yangu.
Umenielewa naukome nahao magroup ya wenzio kunichanganya na vimada vyenu .
Mmenielewa maisha ni mwangu sijawahi uza k yangu kwamaana nasubiria mwanaume aje anioe kistaarabu so kama humu ndani kuna list ya wapumbavu wanaona wanawake ni wakujiuza kisa vihela vya mikopo mtukome na vinguo vya misaada na vigari vya mikopo na uchokaji wa maisha wenu.
Msituletee sisi .
Kazoeni hadhi zenu.
Unaidharau elfu kumi?Elfu kumi ndio nini bora mtu atoe bure tu.
Dah utaila au utaitupa njiani.
Elfu kumi hata nauli haitoshi .
Sijadharau mnatudharau nanyie wadada aibu zenu hata kama unanjaa bora utoe bure .
Ule kwa mshikaji uombe hata kashopping.
Yale yale... Kwani hatuna mkuu? Duuuh!Hahaaaaaa...Unakua mkali??Mtakosaga waume nyie
[emoji8][emoji8]I love u
Lakini unajua nin my dear.Kuuuumbe?[emoji23] [emoji23] ...basi we mujanja[emoji122]
Haahaa kuna watu huwa mindset zao sijui vip? Anakukariri nyuma ya keyboard na kwamba ndo real yako kitaa! ajabu sana
Hahahaaa. Lol
Haahaaa demi unapeenda RECEIVABLE[emoji23] [emoji23]I love u
Walaaa jamani, mnajistukia tu
Haahaaa eti anakusupport[emoji23] [emoji23] [emoji23]Ahsante mkuu umesupport hii comment.
Wite J amesema yeye hayuko hvyo kabisa.
Nilihisi nakufananisha Jirani baada ya kuchanhe AvatarMkuuu wanaume ni PAYABLE in nature while wanawake ni RECEIVABLE in nature haijalishi ana hela au hana.. Akijisikia atafanya hivyo. So kwasisi wanaume ni shurti kupambana kujaza videbe vyetu ili mwisho wa siku tuweze kuwaservice hawa viumbe. Ukiona bado pagumu labda upambane huku ukiamini kuna zali la mentali[emoji23].
Na ww uwe freshi kweli kweli,ila mi napenda sana nchi yangu.Wanakera kuna vijidudu watu humu wanadhani wenzao wao nihali ya chinii hata maji hawawezi nunua .
Yaani ukicomment ukisema chochote wewe ni mdangaji eh hivi tanzania nani anataka kuolewa humu watu wanataka kuolewa nje eti wapate air fresh sio humu tokea uzaliwe unaishi tu humu
[emoji8][emoji8][emoji8]